CHANZO CHA AJALI YA SALUM MKAMBALA CHATAJWA
Mtangazaji wa Channel Salumu Mkambala, akipelekwa Theatre katika Hospitali ya Tumbi, Kibaha, Pwani. Msanii wa kundi la Mizengwe, Hemed Maliyaga (wa kwanza kulia) akisaidiana na ndugu pamoja na mke wa Mkambala (wa tatu kushoto) kumpeleka mgonjwa Theatre.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gWhc*8EYmk8e1S*ygWaw4wLzdGbglK1wrxW-pfQ5JLYDWaU5UY64zpXUeXpe2Tdg9xqB5UfMAwLn882xWTzRjWQjTQfKWv3S/beakingnews.gif)
SALUM MKAMBALA WA CHANNEL TEN APATA AJALI YA GARI
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Chanzo cha kuporomoka ufaulu chatajwa
WADAU wa elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya wamesema moja ya sababu zinazochangia kuporomoka kwa ufaulu kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ni manyanyaso ya walimu wa...
10 years ago
Habarileo10 Dec
Chanzo cha upungufu wa dawa chatajwa
SERIKALI imesema tatizo la upungufu wa dawa katika Zahanati, vituo vya afya na hospitali za umma nchini, limetokana na tabia ya maslahi binafsi ya baadhi ya watumishi, ambao huhitaji mgawo wa asilimia 10 ya mauzo ya dawa katika maduka binafsi.
11 years ago
Habarileo20 Mar
Chanzo cha kukosekana maendeleo ya haraka chatajwa
UKOSEFU wa midahalo miongoni mwa Watanzania kuhusu uongozi na utawala bora imeelezwa kusababisha kukosekana kwa maendeleo katika sekta mbalimbali nchini.
10 years ago
Habarileo29 May
Chanzo cha kutopungua vifo vya akinamama chatajwa
SERIKALI imesema kwamba kutofikiwa kwa lengo la kupunguza vifo vya akinamama kwa mujibu wa Malengo ya Milenia, hakutokani na kukosekana kwa mpango mkakati.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sFcLJp_QLmc/Uxw3DE5DHvI/AAAAAAAFSWI/jTIGuTFbXCc/s72-c/unnamed+(8).jpg)
JK amjulia hali mpiganaji Salum Mkambala wa channel ten leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-sFcLJp_QLmc/Uxw3DE5DHvI/AAAAAAAFSWI/jTIGuTFbXCc/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TnSnZq4s1fw/Uxw3EMxGghI/AAAAAAAFSWQ/1NgHCA704Lk/s1600/unnamed+(7).jpg)
9 years ago
Bongo Movies17 Nov
Chanzo Lulu Kutodumu na Wanaume Chatajwa
Ubuyu! Licha kujaliwa umbo matata na mvuto wa aina yake, staa wa Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’, anadaiwa kutodumu na mwanaume, Ijumaa Wikienda limetajiwa chanzo cha hali hiyo.
Kwa mujibu wa sosi wa ndani wa familia ya staa huyo, chanzo kikubwa cha Lulu kutodumu na mwanaume anayempata kama mwandani wake ni mama yake, Lucresia Karugila.
Ilidaiwa kwamba, kama ilivyokuwa kwa Wema Sepetu zamani, mama yake, Miriam Sepetu alidaiwa kumwekea ‘patroo’ mrembo huyo kwa kumchagulia mwanaume wa...
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Kandoro: Mawakala chanzo cha ajali
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amsema siri ya kukithiri kwa ajali za barabarani ni kutokana na mawakala wanaokatisha tiketi katika vituo vya mabasi kutoa motisha ya fedha kwa...