SALUM MKAMBALA WA CHANNEL TEN APATA AJALI YA GARI

Mtangazaji wa Channel Ten, Salum Mkambala (pichani) amepata ajali ya gari ambalo alikuwa akiendesha kutoka Dar es Salaam kuelekea Morogoro. Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi wa Channel Ten ambaye ameidokeza Global Publishers.info, Mkambala alipata ajali hiyo maeneo ya Chalinze alfajiri ya leo na hali yake inaelezwa kuwa ni mahututi baada ya kuumia vibaya. Haijafahamika yuko hospitali gani kwani alikuwa peke yake kwenye gari na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
JK amjulia hali mpiganaji Salum Mkambala wa channel ten leo
.jpg)
.jpg)
11 years ago
GPLCHANZO CHA AJALI YA SALUM MKAMBALA CHATAJWA
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Rage apata ajali ya gari
MWENYEKITI wa Simba aliyemaliza muda wake, Ismail Aden Rage, jana amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya agari eneo Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akiingia mjini humo...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Bahati Bukuku apata ajali ya gari
MWIMBAJI maarufu wa muziki wa Injili nchini, Bahati Bukuku, amepata ajali ya gari akiwa njiani kuelekea Kahama katika tamasha la muziki wa Injili. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa...
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mfanyabiashara wa madini apata ajali mbaya ya gari lake iliyopelekea kupasuka kichwa na kufariki papo hapo, kisa mwendo kasi
Gari lililokuwa limebeba mwili wa mfanyabiashara wa madini ya Coper Henrico Kairuki likiwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
Mfanyabiashara wa madini aina ya Shaba Mkoani Singida amefariki dunia papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo alilokuwa akiendesha kuacha njia na kisha kupinduka mara tatu.
Ajali hiyo mbaya imetokea katika kijiji cha Gumanga Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama majira ya saa 9:00 alasiri na kulihusisha gari dogo aina ya...
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi
Kipindi cha mada moto chaanza rasmi channel ten