Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kipindi cha mada moto chaanza rasmi channel ten

Kipindi cha mada moto kimeanza rasmi kupitia Channel Ten.Kwa wanaotaka kukiangalia wanaweza kwa kuingia kwenye tovuti ya ww.madamottotvshow.com. kipindi hiki ni live kinarushwa kila jumatau, jumatano na ijumaa saa nne usiku.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Channel ten imeanza kipindi cha DK 45 cha KUELEKEA KOMBE LA DUNIA

 Channel ten imeanza kipindi cha DK 45 cha KUELEKEA KOMBE LA DUNIA ambacho kinatoka kila siku saa 12 jioni na kinarudiwa siku inayofuata saa 6 mchana. Kipindi hicho kinaongozwa na EZEKIEL MWAMBOPO, OREST KAWAW wakishirikiana na DR LIKY katika uchambuzi wa kina kwa kila kundi lenye timu shiriki katika kombe la Dunia mwaka huu nchini Brazil.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kipindi ni Mada moto ,matarajio ya watanzania kwa wakati huu wa kampeni kuelekea uchaguzi 2015

The post Kipindi ni Mada moto ,matarajio ya watanzania kwa wakati huu wa kampeni kuelekea uchaguzi 2015 appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

KIPINDI CHAKO CHA MADA MOTTO


o watch madamotto every day show go to www.madamottotvshow.comfacebook: madamottotvshowtwitter: madamottotvshow

 

10 years ago

Michuzi

introducing kipinchi kipya cha channel ten cha BAMPA kwa BAMPA

Kipindi kipya cha Televisheni kinachotoa fursa kwa Watanzania waliopo katika foleni za barabarani kutoa maoni na kujadili mustakabali na maendeleo ya Taifa.........Ni muda ambao wengi tunaelekea nyumbani, baada ya kutoka katika pirikapirika na shughuli za kujiongezea kipato. Pamoja na changamoto mbalimbali tunazokutana nazo, lakini kwa sasa tunajikuta katika changamoto nyingine kubwa .... FOLENI ! 
 Hosted by # Khalid Ali Gangana.

 

5 years ago

Michuzi

KIWANDA CHA KUCHENJUA NA KUTAKASA MADINI CHAANZA KAZI RASMI JIJINI DODOMA

 Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Eyes of Africa Ltd (EOA) Ferenc Molnar akionesha moja ya mtambo mkubwa na wakisasa wa kutakasa madini wakati akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) walipotembelea kiwanda hicho jijini hapa mwishoni mwa wiki. Mtendaji Mwendeshaji wa kiwanda hicho, Prince Mugisha akionesha moja ya jarida (Catalogue) ya huduma zinazotolewa na EOA.Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Eyes of Africa Ltd (EOA), Ferenc Molnar akisisitiza jambo kwa wanahabari. Kulia kwake ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani