Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


introducing kipinchi kipya cha channel ten cha BAMPA kwa BAMPA

Kipindi kipya cha Televisheni kinachotoa fursa kwa Watanzania waliopo katika foleni za barabarani kutoa maoni na kujadili mustakabali na maendeleo ya Taifa.........Ni muda ambao wengi tunaelekea nyumbani, baada ya kutoka katika pirikapirika na shughuli za kujiongezea kipato. Pamoja na changamoto mbalimbali tunazokutana nazo, lakini kwa sasa tunajikuta katika changamoto nyingine kubwa .... FOLENI ! 
 Hosted by # Khalid Ali Gangana.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Channel ten imeanza kipindi cha DK 45 cha KUELEKEA KOMBE LA DUNIA

 Channel ten imeanza kipindi cha DK 45 cha KUELEKEA KOMBE LA DUNIA ambacho kinatoka kila siku saa 12 jioni na kinarudiwa siku inayofuata saa 6 mchana. Kipindi hicho kinaongozwa na EZEKIEL MWAMBOPO, OREST KAWAW wakishirikiana na DR LIKY katika uchambuzi wa kina kwa kila kundi lenye timu shiriki katika kombe la Dunia mwaka huu nchini Brazil.

 

10 years ago

Michuzi

Kipindi cha mada moto chaanza rasmi channel ten

Kipindi cha mada moto kimeanza rasmi kupitia Channel Ten.Kwa wanaotaka kukiangalia wanaweza kwa kuingia kwenye tovuti ya ww.madamottotvshow.com. kipindi hiki ni live kinarushwa kila jumatau, jumatano na ijumaa saa nne usiku.

 

10 years ago

Michuzi

introducing kiota kipya cha maraha na kilaji cha "Break Point Carnivore" Kinondoni, jijini Dar es salaam

 Mandhari ya kiota kipya cha kisasa cha kilaji kiitwacho Break Point Carnivore jijini Dar es salaam  kilichofunguliwa rasmi jana Ijumaa na kuvutia wadau wengi wa mighawa ya Break Point za mjini na Kijitonyama ambapo mambo yote yanayopatikana huko kama vile "jirambe", "mchemsho", "foil meat" na kadhalika. Msemaji wa kiota hicho Kaka Daudi anasema Break Point imeamua kuondokana na staili ya "Msonge" na kuja na kiota chenye mandhari tofauti kabisa lakini huduma zile zile na zaidi kama vile...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani