Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madamotto live kesho channel ten

Streaming is coming  soon

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MADAMOTTO TVSHOW LIVE ON CHANNEL TEN LINAJADILI SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA-NHC

MDAHALO HURU WA KUJUA, KUFAHAMU NA KUTATHMINI CHANGAMOTO YA MAKAZI NA GHARAMA ZA KODI KATIKA MIJI NA MAJIJI…TUKILIANGALIA KWA KINA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA.
ILI KUFANIKIWA KUJUA KIU YA JAMII NA UHALISIA WA UWEPO WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA TUAMBIE ILI KWA PAMOJA TUSHAURIANE NINI MAANA YA KUWA NA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA. TUNAOMBA WALE WOOTE WENYE UFAHAMU, UELEWA NA UZALENDO TUNAALIKA TAASISI, MASHIRIKA NA WATU BINAFSI KUTUJIBU NA KUULIZA NINI KIFANYIKE NA NANI AFANYE NINI KUOKOA UKUAJI...

 

11 years ago

GPL

SALUM MKAMBALA WA CHANNEL TEN APATA AJALI YA GARI

Mtangazaji wa Channel Ten, Salum Mkambala (pichani) amepata ajali ya gari ambalo alikuwa akiendesha kutoka Dar es Salaam kuelekea Morogoro. Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi wa Channel Ten ambaye ameidokeza Global Publishers.info, Mkambala alipata ajali hiyo maeneo ya Chalinze alfajiri ya leo na hali yake inaelezwa kuwa ni mahututi baada ya kuumia vibaya. Haijafahamika yuko hospitali gani kwani alikuwa peke yake kwenye gari na...

 

11 years ago

Michuzi

JK amjulia hali mpiganaji Salum Mkambala wa channel ten leo

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mtangazaji wa kituo cha Televisheni cha Channel Ten na Magic Radio FM mpiganaji Salum Mkambala aliyelazwa katika Taasisi ya Mifupa ya MOI leo katika Hospitali ya Taifa muhimbili anakotibiwa majeraha baada ya kuapata ajali na kujeruhiwa vibaya wiki iliyopita Picha na Freddy Maro

 

10 years ago

Michuzi

Kipindi cha mada moto chaanza rasmi channel ten

Kipindi cha mada moto kimeanza rasmi kupitia Channel Ten.Kwa wanaotaka kukiangalia wanaweza kwa kuingia kwenye tovuti ya ww.madamottotvshow.com. kipindi hiki ni live kinarushwa kila jumatau, jumatano na ijumaa saa nne usiku.

 

11 years ago

Michuzi

Channel ten imeanza kipindi cha DK 45 cha KUELEKEA KOMBE LA DUNIA

 Channel ten imeanza kipindi cha DK 45 cha KUELEKEA KOMBE LA DUNIA ambacho kinatoka kila siku saa 12 jioni na kinarudiwa siku inayofuata saa 6 mchana. Kipindi hicho kinaongozwa na EZEKIEL MWAMBOPO, OREST KAWAW wakishirikiana na DR LIKY katika uchambuzi wa kina kwa kila kundi lenye timu shiriki katika kombe la Dunia mwaka huu nchini Brazil.

 

10 years ago

Michuzi

introducing kipinchi kipya cha channel ten cha BAMPA kwa BAMPA

Kipindi kipya cha Televisheni kinachotoa fursa kwa Watanzania waliopo katika foleni za barabarani kutoa maoni na kujadili mustakabali na maendeleo ya Taifa.........Ni muda ambao wengi tunaelekea nyumbani, baada ya kutoka katika pirikapirika na shughuli za kujiongezea kipato. Pamoja na changamoto mbalimbali tunazokutana nazo, lakini kwa sasa tunajikuta katika changamoto nyingine kubwa .... FOLENI ! 
 Hosted by # Khalid Ali Gangana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani