Mfanyabiashara wa madini apata ajali mbaya ya gari lake iliyopelekea kupasuka kichwa na kufariki papo hapo, kisa mwendo kasi
Gari lililokuwa limebeba mwili wa mfanyabiashara wa madini ya Coper Henrico Kairuki likiwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
Mfanyabiashara wa madini aina ya Shaba Mkoani Singida amefariki dunia papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo alilokuwa akiendesha kuacha njia na kisha kupinduka mara tatu.
Ajali hiyo mbaya imetokea katika kijiji cha Gumanga Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama majira ya saa 9:00 alasiri na kulihusisha gari dogo aina ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Apr
NYANZA: Mwalimu ajinyonga, mtendaji agongwa na kufariki papo hapo
11 years ago
Michuzi21 Apr
NEW ALERT: AJALI MWANZA WATU ZAIDI YA 20 WAFARIKI PAPO HAPO
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Watu wawili wafa papo hapo katika ajali mkoani Singida baada ya bajaj kugongwa na Fuso
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Nathaniel Limu, Singida
Watu wawili wamefariki dunia katika ajali mkoani Singida,baada ya bajaj waliokuwa wakisafiria kugongwa na gari aina mitsubishi fuso lenye namba za usajili T.641 AVA lililokuwa likiendeshwa na Modest Kisaka (27) mkazi wa Mughanga manispaa ya Singida.
Watu hao ni pamoja na derive wa bajaj hiyo yenye namba za usajili MC 866 ABW aina ya YVS, Thadei...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-9jWb-jmYF1Q/VLY7Xs-kqMI/AAAAAAAAe4M/XHMKTG9LzBE/s72-c/F1.jpg)
AJALI MBAYA YATOKEA MAENEO YA MKATA,DEREVA ANUSURIKA KUFARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-9jWb-jmYF1Q/VLY7Xs-kqMI/AAAAAAAAe4M/XHMKTG9LzBE/s640/F1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QDs4-YX8maY/VLY7XiEg0YI/AAAAAAAAe4Q/FhnLuWmSdCM/s640/F2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Jeh2owPHYA/VLY7XnOfGiI/AAAAAAAAe4E/txPDR5wouag/s640/F3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ej26WiO-MjQ/VLY7Y4vFtaI/AAAAAAAAe4c/XIFzG_agSUg/s640/F4.jpg)
Ajali hii imetokea maeneo ya Mkata barabara ya kwenda mikoa ya Kaskazini.
10 years ago
Michuzi19 Feb
WATU WAWILI WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA AJALI YA BASI KUGONGANA USO KWA USO NA LORI
Watu wawili wamefariki dunia papo hapo katika ajali ya Basi kugongana na Lori ajali iliyotokea tarehe 19/02/2015 majira ya saa 13:15hrs huko eneo la Vikonje Kata ya Mtumba Barabara ya Dodoma – Morogoro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema ajali hiyo imehusisha Basi lenye namba za usajili T. 663 AXL aina ya SCANIA Kampuni ya KIDIA ONE lililokuwa litokea Dar es Salaam kwenda Mwanza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04aslISWLmN-XlCNjfduMKk8PSWh91yUiDG5p4YhucigtM54m4JRDHMh9yKHTq6L-TiXXKUj6h2IPJsmdLaPLeXmU/lungi.jpg?width=650)
LUNGI APATA AJALI MBAYA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO*N53FuqVJTiSxU3T-MWZQDcnTCOupPFA5huAEs2n*6D2d963UB6G2-f0DqqQ0XEFtvUxAruPyPSREX0qO2uRs3/BREAKINGNEWS.gif)
NAPE APATA AJALI MBAYA LINDI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycF2Hp6MCCWvTlYDOH3EdjaaljigDP6FEiayE5zidNOfHoXp8Q5X5O7fr0SDNQFnB6-qbsWfTjvR-uLcwIKMNXTU/IMG20141026WA0005.jpg)
AJALI MBAYA YA GARI ARUSHA
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Kisa mapaparazi, Kylie apata ajali
LOS ANGELES, MAREKANI
MPENZI wa mkali wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Tygar, Kylie Jenner, amesema hana urafiki na waandishi wa habari nchini humo kwa kuwa walimsababishia ajali.
Mrembo huyo amesema hana amani kila akiwa katika matembezi yake ya kawaida kwa kuwa waandishi wa habari wanamzonga mara kwa mara.
Hata hivyo, mwezi uliopita alikutana na waandishi wa habari akaanza kuwakimbia na gari yake na kusababisha ajali wakati anawakimbia waandishi hao.
“Siwezi kuwa na urafiki na...