LUNGI APATA AJALI MBAYA
![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04aslISWLmN-XlCNjfduMKk8PSWh91yUiDG5p4YhucigtM54m4JRDHMh9yKHTq6L-TiXXKUj6h2IPJsmdLaPLeXmU/lungi.jpg?width=650)
MASKINI! Msanii wa filamu Bongo, Lungi Maulanga amenusurika kifo baada ya kupata ajali mbaya ya gari na kupata majeraha mbalimbali mwilini. Msanii wa filamu Bongo, Lungi Maulanga. Lungi alipata ajali hiyo maeneo ya Tegeta, jijini Dar akiwa kwenye gari lake ambapo aligongwa na lori lililokuwa limebeba mchanga na kusababisha aumie zaidi usoni na mguuni na kushonwa nyuzi tisa. “Namshukuru Mungu nimeponea chupuchupu kwani...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO*N53FuqVJTiSxU3T-MWZQDcnTCOupPFA5huAEs2n*6D2d963UB6G2-f0DqqQ0XEFtvUxAruPyPSREX0qO2uRs3/BREAKINGNEWS.gif)
NAPE APATA AJALI MBAYA LINDI
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mfanyabiashara wa madini apata ajali mbaya ya gari lake iliyopelekea kupasuka kichwa na kufariki papo hapo, kisa mwendo kasi
Gari lililokuwa limebeba mwili wa mfanyabiashara wa madini ya Coper Henrico Kairuki likiwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
Mfanyabiashara wa madini aina ya Shaba Mkoani Singida amefariki dunia papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo alilokuwa akiendesha kuacha njia na kisha kupinduka mara tatu.
Ajali hiyo mbaya imetokea katika kijiji cha Gumanga Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama majira ya saa 9:00 alasiri na kulihusisha gari dogo aina ya...
10 years ago
Mtanzania30 Aug
Ajali mbaya yaua 10 Mbeya
![Askari wa usalama barabarani na raia wakiangalia gari aina ya Toyota Hiace iliyopata ajali eneo la Mbalizi mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine kujeruhiwa. Picha na Pendo Fundisha](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/ajali-mbeya.jpg)
Askari wa usalama barabarani na raia wakiangalia gari aina ya Toyota Hiace iliyopata ajali eneo la Mbalizi mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine kujeruhiwa. Picha na Pendo Fundisha
Na Pendo Fundisha, Mbeya
WATU 10 wakiwemo watoto wadogo wawili, wamekufa papo hapo baada ya gari dogo la abiria aina ya Toyota Hiace kulivaa lori aina ya Fuso katika eneo la Mbalizi mkoani Mbeya.
Katika ajali hiyo iliyotokea jana saa 4 asubuhi, watu saba walijeruhiwa miongoni mwao wakiwa katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Zf7js0lkpBorIhKqKTZEDcO-VOXuivNQyM5aYXrV66531UOA*II2z2Kyw8ICb0wj*p-9sW6044jHl*RnpSrs*gGYizrjjVnV/AIRBUS.jpg)
AJALI MBAYA YATOKEA GAIRO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHnKSRlAq8VmFMMDfmkp3oazB9j7Rm3ZBPy7-BVIJff*Pn*LiT7GnU9GeUuExKjsdaeSlk9*HMvDGZUd9ol-Y2L/AJALIMORO6.jpg)
AJALI MBAYA YA NOAH MOROGORO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycF2Hp6MCCWvTlYDOH3EdjaaljigDP6FEiayE5zidNOfHoXp8Q5X5O7fr0SDNQFnB6-qbsWfTjvR-uLcwIKMNXTU/IMG20141026WA0005.jpg)
AJALI MBAYA YA GARI ARUSHA
9 years ago
Vijimambo03 Sep
POMBE YAHUSISHWA, AJALI MBAYA YA BODABODA
![Kasendeka, mhanga wa ajali iliyohusisha pikipiki mbili maarufu kama bodaboda.](http://aloyson.com/wp-content/uploads/2015/09/Ajali-bodaboda-tabora-7-620x411.jpg)
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Ajali mbaya yaua watu 22 Rufiji
11 years ago
GPLAJALI MBAYA ZILIZOTOKEA ASUBUHI YA LEO