AJALI MBAYA YA GARI ARUSHA
Gari aina ya Toyota Noah likiwa limepinduka katika ajali hiyo. Gari aina ya Toyota Hiace iliyogonga kwenye mara baada ya ajali. Ajali imetokea leo mchana ktk maeneo ya Airpot eneo linalojulikana kama Makutano ya barabara ya AIRPORT ARUSHA. Ni baada ya askari polisi kusimamisha kwa ghafla gari aina ya Toyota…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboANGALIA PICHA AJALI MBAYA YA BASI LA HAPPY NATION NA GARI NDOGO
9 years ago
Bongo523 Sep
Picha: Muigizaji wa Kenya apoteza maisha kwenye ajali mbaya akiwa na gari ya kifahari
10 years ago
MichuziNEWS ALERT:AJALI MBAYA YA BASI LA HAPPY NATION NA GARI NDOGO,WATU KADHAA WADAIWA KUPOTEZA MAISHA HEDARU.
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mfanyabiashara wa madini apata ajali mbaya ya gari lake iliyopelekea kupasuka kichwa na kufariki papo hapo, kisa mwendo kasi
Gari lililokuwa limebeba mwili wa mfanyabiashara wa madini ya Coper Henrico Kairuki likiwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
Mfanyabiashara wa madini aina ya Shaba Mkoani Singida amefariki dunia papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo alilokuwa akiendesha kuacha njia na kisha kupinduka mara tatu.
Ajali hiyo mbaya imetokea katika kijiji cha Gumanga Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama majira ya saa 9:00 alasiri na kulihusisha gari dogo aina ya...
10 years ago
MichuziBreaking nyuzzz....: Ajali mbaya yatokea jijimi Arusha leo,yapoteza maisha ya watu zaidi ya 9
11 years ago
MichuziNews Alert: Ajali ya gari la mizigo barabara ya Arusha/Moshi leo
Gari lililokuwa limepakia shehena ya Sementi likiwa limepunduka katika barabara ya Arusha Moshi jirani na Bomang'ombe. Hakuna aliyejeruhiwa na chanzo cha ajali bado haijajulikana Vijana wakichukua mafuta katika tenki la mafuta ya gari lililoanguka.
Sehemu ya sementi iliyokuwa imepakiwa katika gari hilo . Askari polisi wa kituo cha polisi Bomang'ombe wakiwa katika eneo la tukio kuhakikisha kunakuwepo na hali ya usalama. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.
10 years ago
GPLMTOTO ALIVYOOMBOLEZA KIFO CHA MAMA YAKE ALIYEFARIKI KATIKA AJALI YA GARI ARUSHA
10 years ago
Mtanzania30 Aug
Ajali mbaya yaua 10 Mbeya
Askari wa usalama barabarani na raia wakiangalia gari aina ya Toyota Hiace iliyopata ajali eneo la Mbalizi mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine kujeruhiwa. Picha na Pendo Fundisha
Na Pendo Fundisha, Mbeya
WATU 10 wakiwemo watoto wadogo wawili, wamekufa papo hapo baada ya gari dogo la abiria aina ya Toyota Hiace kulivaa lori aina ya Fuso katika eneo la Mbalizi mkoani Mbeya.
Katika ajali hiyo iliyotokea jana saa 4 asubuhi, watu saba walijeruhiwa miongoni mwao wakiwa katika...
11 years ago
GPLLUNGI APATA AJALI MBAYA