News Alert: Ajali ya gari la mizigo barabara ya Arusha/Moshi leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-yEc3b_QQ9l4/UwSUnpH7BEI/AAAAAAAFN88/QP-e1mstw4U/s72-c/unnamed+(62).jpg)
Gari lililokuwa limepakia shehena ya Sementi likiwa limepunduka katika barabara ya Arusha Moshi jirani na Bomang'ombe. Hakuna aliyejeruhiwa na chanzo cha ajali bado haijajulikana
Vijana wakichukua mafuta katika tenki la mafuta ya gari lililoanguka.
Sehemu ya sementi iliyokuwa imepakiwa katika gari hilo .
Askari polisi wa kituo cha polisi Bomang'ombe wakiwa katika eneo la tukio kuhakikisha kunakuwepo na hali ya usalama. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WATU KUMI WAFARIKI DUNIA NA WENGINE SABA KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA GARI JIJINI MBEYA LEO
Ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa nne asubuhi ikihusisha gari ndogo ya abiria maarufu daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace na gari kubwa aina ya Fuso lenye namba za usajili T 158 CSV.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema ajali hiyo ilitokea maeneo ya Mbalizi baada ya Hiace iliyokuwa ikitokea Mbeya mjini kuelekea...
11 years ago
Michuzi17 Feb
NEWS ALERT: Mmoja apoteza maisha kufuatia ajali ya gari huko Lindi
Abiria aliyepoteza maisha katika ajali hiyo anaitwa Amina Omari Makodora (48) mkazi wa kijiji cha Kilindoni,wilaya ya Mafia,mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa abiria wengine walionusulika kwenye ajali hiyo,wameiambia Globu ya Jamii kuwa ajali hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDJDwDU5J-VcAsyFt90lyyiy0lVf3JH9dnCbjFt1J2dFjuAc*enJW-LNskwGWL1e7IAp3UFadupW79zz82NIw5pq/IMG20140929WA0005.jpg?width=650)
AJALI YATOKEA BARABARA YA MOSHI - ARUSHA MCHANA HUU
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6sPDK3ZU7To/VDqgPu31jRI/AAAAAAAGplQ/3ROVHiOA9tk/s72-c/unnamed.jpg)
NEWS ALERT:AJALI MBAYA YA BASI LA HAPPY NATION NA GARI NDOGO,WATU KADHAA WADAIWA KUPOTEZA MAISHA HEDARU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6sPDK3ZU7To/VDqgPu31jRI/AAAAAAAGplQ/3ROVHiOA9tk/s1600/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ivqc90arWEg/VDqgPzhXpyI/AAAAAAAGplU/Ox7GMVj8muI/s1600/unnamed.jpgq.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q8yl8I0FRWg/VPB3g2oRWcI/AAAAAAAHGQs/gm3vzlKdzN8/s72-c/IMG-20150227-WA0037.jpg)
NEWS ALERT: NDEGE YA JWTZ YAPATA AJALI JIJINI MWANZA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q8yl8I0FRWg/VPB3g2oRWcI/AAAAAAAHGQs/gm3vzlKdzN8/s1600/IMG-20150227-WA0037.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ODsiopK1HFA/VPB4-s7b8VI/AAAAAAAHGSA/yVB3lMyUmiw/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-27%2Bat%2B5.01.14%2BPM.png)
Ndegevita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida ya kivita, Wakati rubani wa ndegevita...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s72-c/20150707111148.jpg)
NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI APATA AJALI YA CHOPA JIONI YA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s640/20150707111148.jpg)
Taarifa kamili itawajia baadae kidogo.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EsajbnapHXU/VnQHVEi-rhI/AAAAAAAINQA/h7Ni-gkVMI8/s72-c/IMG-20151218-WA0132.jpg)
NEWS ALERT: BASI LA KAMPUNI YA NEW FORCE LAPATA AJALI MBAYA MKOANI IRINGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-EsajbnapHXU/VnQHVEi-rhI/AAAAAAAINQA/h7Ni-gkVMI8/s640/IMG-20151218-WA0132.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa,Peter Kakamba amethibitisha watu 12 kupoteza maisha katika ajali hiyo. Wanane ni wanae na wanne ni wanawake. Abiria 28 wamejeruhiwa wakiwemo madereva wa basi la lori na hali zao siyo nzuri.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa nane alasiri ambapo basi la...
10 years ago
Michuzi01 Jul
NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WASHABIKI WA TIMU YA SIMBA WAPATA AJALI MKOANI MOROGORO LEO, NANE WAPOTEZA MAISHA
Hili ni pigo kubwa sana kwa Timu ya Simba, tutaendelea kupeana taarifa kadri zitakavyokuwa zikitufikia.
Globu ya Jamii inatoa pole wa Klabu ya Wekundu wa Msimbazi kuwa kuondokewa na washabiki wake hao, na Mungu aziweke Roho za...