NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI APATA AJALI YA CHOPA JIONI YA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s72-c/20150707111148.jpg)
Chopa iliyokuwa ikitumiwa na Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassary ikiwa juu ya mti mara baada ya kupiga mweleka jioni ya leo katika Kijiji cha Leguruki, Wilayani Meru Jijini Arusha. Hakuna aliepoteza maisha katika ajali hiyo, na Mbunge Nassari pamoja na Rubani wake wako Hospitali kwa matibabu baada ya kupata majeraha kwenye ajali hiyo.
Taarifa kamili itawajia baadae kidogo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-FousFGA9yZo/VZwjYZHbrCI/AAAAAAAATDw/3jCASEASpdw/s640/20150707111148.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI APATA AJALI JIONI YA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tc0kjcbI048/VJGPLKC80oI/AAAAAAAG36g/rW2uJJ0N6gM/s72-c/images.jpg)
NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE JOSHUA NASSARI AACHIWA KWA DHAMANA NA MAHAKAMA YA MWANZO YA MAJI YA CHAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tc0kjcbI048/VJGPLKC80oI/AAAAAAAG36g/rW2uJJ0N6gM/s1600/images.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2LSIwKojC90/VHnA548HlcI/AAAAAAAG0Gs/dIG1Diyr7ic/s72-c/IMG-20141129-WA0013.jpg)
NEWS ALERT: CHOPA YAPIGA MWELEKA LEO NA KUUWA WATU WANNE JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LSIwKojC90/VHnA548HlcI/AAAAAAAG0Gs/dIG1Diyr7ic/s1600/IMG-20141129-WA0013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fo9dcUps4VM/VHnA7xUxiPI/AAAAAAAG0G0/7Rsrdnubbt4/s1600/IMG-20141129-WA0012.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gKJwAPs9fCQ/VHnA8Fa9yMI/AAAAAAAG0G8/MEVQBqyj2Jg/s1600/IMG-20141129-WA0016.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P02KPTQ8OPw/VHnA8b34RhI/AAAAAAAG0G4/oVUhEXKFl-s/s1600/IMG-20141129-WA0014.jpg)
11 years ago
Michuzi23 Apr
NEWS ALERT: ZAIDI ya abiria 40 Wajeruhiwa ajalini mkoano Kilimanjaro jioni ya leo
Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la tukio,inaeleza kwamba ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10 jioni jirani kabisa na kituo cha mafuta kilichopo kando ya barabara ya Moshi-Arusha wakati magari hayo yakijiandaa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yEc3b_QQ9l4/UwSUnpH7BEI/AAAAAAAFN88/QP-e1mstw4U/s72-c/unnamed+(62).jpg)
News Alert: Ajali ya gari la mizigo barabara ya Arusha/Moshi leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-yEc3b_QQ9l4/UwSUnpH7BEI/AAAAAAAFN88/QP-e1mstw4U/s1600/unnamed+(62).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1oWk3HrhW4M/UwSUoF3ywtI/AAAAAAAFN9Y/xZwlCzzaAHQ/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-o9InGcd2I-U/UwSUoajsjgI/AAAAAAAFN9I/aqaczu-TTY8/s1600/unnamed+(65).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q4Cilx7kRA0/UwSUpQNGtgI/AAAAAAAFN9w/8pPtvV4QarI/s1600/unnamed+(67).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2223yZIX1-s/UwSUpRaRAnI/AAAAAAAFN9g/3tgXHvbqBzE/s1600/unnamed+(68).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q8yl8I0FRWg/VPB3g2oRWcI/AAAAAAAHGQs/gm3vzlKdzN8/s72-c/IMG-20150227-WA0037.jpg)
NEWS ALERT: NDEGE YA JWTZ YAPATA AJALI JIJINI MWANZA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q8yl8I0FRWg/VPB3g2oRWcI/AAAAAAAHGQs/gm3vzlKdzN8/s1600/IMG-20150227-WA0037.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ODsiopK1HFA/VPB4-s7b8VI/AAAAAAAHGSA/yVB3lMyUmiw/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-27%2Bat%2B5.01.14%2BPM.png)
Ndegevita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida ya kivita, Wakati rubani wa ndegevita...
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Mbunge wa Arumeru Mashariki apandishwa kizimbani
Mbunge wa jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nasari ,(CHADEMA).
Na Mahmoud Ahmad, Arusha
MBUNGE wa jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nasari ,(CHADEMA)anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo kutokana na kutumia silaha na kisha kumteka mtendaji wa kata ya Makiba, na kuchoma bendera za chama cha Mapinduzi katika maeneo mbalimbali wilayani Meru.
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Arusha Liberatus Sabas, amesema tukio hilo limetokea Desemba 14 mwaka huu wakati mbunge huyo alipokuwa akifuatilia...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EsajbnapHXU/VnQHVEi-rhI/AAAAAAAINQA/h7Ni-gkVMI8/s72-c/IMG-20151218-WA0132.jpg)
NEWS ALERT: BASI LA KAMPUNI YA NEW FORCE LAPATA AJALI MBAYA MKOANI IRINGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-EsajbnapHXU/VnQHVEi-rhI/AAAAAAAINQA/h7Ni-gkVMI8/s640/IMG-20151218-WA0132.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa,Peter Kakamba amethibitisha watu 12 kupoteza maisha katika ajali hiyo. Wanane ni wanae na wanne ni wanawake. Abiria 28 wamejeruhiwa wakiwemo madereva wa basi la lori na hali zao siyo nzuri.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa nane alasiri ambapo basi la...
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WASHABIKI WA TIMU YA SIMBA WAPATA AJALI MKOANI MOROGORO LEO, NANE WAPOTEZA MAISHA
Hili ni pigo kubwa sana kwa Timu ya Simba, tutaendelea kupeana taarifa kadri zitakavyokuwa zikitufikia.
Globu ya Jamii inatoa pole wa Klabu ya Wekundu wa Msimbazi kuwa kuondokewa na washabiki wake hao, na Mungu aziweke Roho za...