NEWS ALERT: CHOPA YAPIGA MWELEKA LEO NA KUUWA WATU WANNE JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LSIwKojC90/VHnA548HlcI/AAAAAAAG0Gs/dIG1Diyr7ic/s72-c/IMG-20141129-WA0013.jpg)
Sehemu ya mabaki ya Helkopta aina ya Chopa iliyopiga mweleka mapema leo asubuhi maeneo ya Kipunguni B Ukonga jijini Dar es Salaam na kuua watu wanne waliokuwemo ndani ya Chopa hiyo hiyo wakiwa ni rubani pamoja na askari watatu.Chanzo cha Chopa hiyo kupiga mweleka bado hakijafahamika mpaka sasa.
Sehemu ya Mashuhuda wakiangalia mabaki ya Chopa hiyo.
Sehemu ya umati wa watu waliofika kushuhudia ajali hiyo iliyotokea mapema leo eneo la Kipunguni B,jijini Dar es Salaam.Watu wanne wamepoteza maisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gPg06VryKvI/U0p6W9YPHyI/AAAAAAAFacU/Jg93nfkDnl8/s72-c/IMG-20140413-WA0004-1.jpg)
News Alert: Helkopta ya Polisi yapiga mweleka wakati wa Kuruka kwenye Uwanja wa Ndege wa J.K. Nyerere jijini Dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-gPg06VryKvI/U0p6W9YPHyI/AAAAAAAFacU/Jg93nfkDnl8/s1600/IMG-20140413-WA0004-1.jpg)
10 years ago
Michuzi01 Jul
NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI
11 years ago
MichuziGari yapiga mweleka na kuingia mtaroni jijini Mbeya leo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s72-c/20150707111148.jpg)
NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI APATA AJALI YA CHOPA JIONI YA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s640/20150707111148.jpg)
Taarifa kamili itawajia baadae kidogo.
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WATU KUMI WAFARIKI DUNIA NA WENGINE SABA KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA GARI JIJINI MBEYA LEO
Ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa nne asubuhi ikihusisha gari ndogo ya abiria maarufu daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace na gari kubwa aina ya Fuso lenye namba za usajili T 158 CSV.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema ajali hiyo ilitokea maeneo ya Mbalizi baada ya Hiace iliyokuwa ikitokea Mbeya mjini kuelekea...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BXRWBqsbAlg/VlMcCI1IrBI/AAAAAAAIIBw/qn91bhqfi2o/s72-c/1100313d-b04d-43be-9583-271f834d449e.jpeg)
NEWS ALERT: NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO ILALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-BXRWBqsbAlg/VlMcCI1IrBI/AAAAAAAIIBw/qn91bhqfi2o/s640/1100313d-b04d-43be-9583-271f834d449e.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y8XIkoCW5w4/VlMcCK4kmvI/AAAAAAAIIBo/wgZBHlG2O2o/s640/26c8f4e5-4a06-4be8-8222-69335b6e35f5.jpeg)
Shughuli ya uzimaji moto huo ikielekea ukingoni baada ya kikosi cha zima moto kufika eneo la tukio na kuifanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0PcoWdcA0QU/VlMcCODcpfI/AAAAAAAIIBs/GBH4NXBT-u8/s640/16b32c2a-ef2b-47e1-a435-5833636ea51f.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s72-c/IMG-20141014-WA0002.jpg)
NEWS ALERT: LORI LA MAFUTA LAWAKA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s1600/IMG-20141014-WA0002.jpg)
Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3vrcaofEp94/VUd4PucDRNI/AAAAAAAHVQg/L2tKC0HPTeg/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
News Alert: membe akutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi jijini Dar es salaam leo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-izUBbRlzZ8s/VHm-RV1ysUI/AAAAAAACvjM/r-7pxG1eNO0/s72-c/1794591_10205373005827007_6204134194784841380_n.jpg)
NEWZ ALERT:HELIKOPTA YAANGUKA UKONGA,JIJINI DAR,WATU WANNE WADAIWA KUPOTEZA MAISHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-izUBbRlzZ8s/VHm-RV1ysUI/AAAAAAACvjM/r-7pxG1eNO0/s1600/1794591_10205373005827007_6204134194784841380_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FBfloqSl_Eg/VHnAhgHq9WI/AAAAAAACvjo/KvxrmNPjycQ/s1600/unnamed.jpg)
akifafanua jambo...