Gari yapiga mweleka na kuingia mtaroni jijini Mbeya leo
Wasamalia wema wakijaribu kulinasua gari aina ya Toyota Corolla (namba zake za usajili hazikuweza fahamamika mara moja kutokana na kutokuwepo) lililoingia kwenye mtaro baada ya dereva wake kuzidiwa maarifa ya kiudereza na kujikuta akiingia mtaroni,katika eneo la Mafiat mkabala na kituo cha mafuta cha Oilcom jijini Mbeya asubuhi hii.Dereva wa Gari hilo pamoja na mtu mwingine mmoja wamejeruhiwa na kukimbizwa hospital kwa matibabu.Chanzo cha ajali hiyo inaelezwa ni mwendo kasi aliokuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: CHOPA YAPIGA MWELEKA LEO NA KUUWA WATU WANNE JIJINI DAR LEO




11 years ago
Michuzi
News Alert: Helkopta ya Polisi yapiga mweleka wakati wa Kuruka kwenye Uwanja wa Ndege wa J.K. Nyerere jijini Dar leo

9 years ago
Michuzi
11 years ago
MichuziNEWS ALERT: WATU KUMI WAFARIKI DUNIA NA WENGINE SABA KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA GARI JIJINI MBEYA LEO
Ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa nne asubuhi ikihusisha gari ndogo ya abiria maarufu daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace na gari kubwa aina ya Fuso lenye namba za usajili T 158 CSV.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema ajali hiyo ilitokea maeneo ya Mbalizi baada ya Hiace iliyokuwa ikitokea Mbeya mjini kuelekea...
10 years ago
GPL
GARI LAINGIA MTARONI LIKIPANDA MLIMA KITONGA
10 years ago
Michuzi
LORI LAPIGA MWELEKA LIKIJARIBU KUKWEPA GARI NYINGINE KIJIJI CHA KITUMBI

10 years ago
MichuziKAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MBEYA CONSTANTINE MUSHI AFUNGUA RASMI SEMINA YA MAAFISA MAZINGIRA JIJINI MBEYA LEO
11 years ago
GPL