TASWIRA ZA BASI LA YANGA LILILOINGIA MTARONI LEO
![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA9B0YlLkDFKTRugJQ-ncjf5L*fu8j*3o3dnKXr2l7K5Vave2kI*0rcnJsfsuiK321*bkPVOVMmkP2bM4I27UJMa/BASILAYANGA3.jpg?width=650)
Pichani juu ni…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI YA BASI LA HOOD ILIYOUA MMOJA NA KUJERUHI 27 MKOANI MORO LEO
Wananchi wakilishuhudia basi la Hood baada ya kupinduka eneo la Melela-Mlandizi, Mvomero mkoani Morogoro. Gari hilo baada ya kupinduka.…
11 years ago
GPL11 years ago
MichuziGari yapiga mweleka na kuingia mtaroni jijini Mbeya leo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoQOEv6TkmINPuAK5m3lAGGA03liUFLnfjXwqQSM22ezIZfep0H6uNzMS6HZjZcG7a7GweJ1mTWbIdVyLu6kG*l/burudani3.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MAJERUHI KATIKA AJALI YA BASI LA BURUDANI, KOROGWE
Hospitali ya wilaya ya Korogwe. Majeruhi wakipatiwa matibabu. Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo ( kushoto)…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVX16ma6BpqjFDqhUvlstr2dbfkdYHTSaPkQDbtT119fZPQcfGBv6TSfoiGMSJmwgW-HbNHQtcE9KsvJOL2jkkWv/1ajaliyabasi1.jpg)
TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA LUHUYE LILILOUA ZAIDI YA WATU 10 JANA MKOANI MWANZA
Basi la abiria la Luhuye Express lenye namba za usajili T 410 AWQ baada ya kuacha njia na kugonga nyumba katika Kijiji cha Yitwimila 'A', wilayani Busega, Mkoa wa Simiyu jana asubuhi. Wananchi wakishuhudia ajali hiyo iliyoua watu zaidi ya 10 na kujeruhi 30.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX1-ZZHL4rvF6VtM89S-qA2Q8lVcJLmxcQqVZmn1xeFjPoS7RlJwDplZ1ZpvgECZRl0eLCsbEdMme-nfInCuX041/2.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MAJERUHI WA AJALI YA BASI LA LUHUYE WAKIWA HOSPITALI YA RUFAA BUGANDO, MWANZA
Baadhi ya majeruhi katika ajali ya Basi la Luhuye Express iliyotokea juzi Wilaya ya Busega mkoani Simiyu wakipelekwa chumba cha upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza. Mpaka sasa watu 16 wamepoteza maisha. Majeruhi wakiwa hospitalini Bgando.…
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q2u6IXcjmWE/VKE3hGKTAKI/AAAAAAAG6V4/vDdpvyr4FA8/s72-c/DSC_1097.jpg)
TASWIRA MWANANA ZA JIJINI DAR LEO BAADA YA MVUA YA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q2u6IXcjmWE/VKE3hGKTAKI/AAAAAAAG6V4/vDdpvyr4FA8/s1600/DSC_1097.jpg)
Baada ya mvua ya kubwa ya kama masaa mawili mfululizo,maeneo mengi jijini Dar yamejaa maji na kupelekea adha kubwa kwa wakazi wa jiji hili.Pichani ni eneo la Morogoro Road.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fv2Du3ZjdoA/VKE3hkYdPEI/AAAAAAAG6WA/CiAImmwUz0Q/s1600/DSC_1107.jpg)
Barabara ya Bibi Titi Mohamed mambo yalikuwa namna hii,wenye magari madogo walipita kwa staili ya maji ya shingo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZYgMINwGN2o/VKE3gl8M6BI/AAAAAAAG6V0/NebeZTj4ic4/s1600/DSC_1105.jpg)
Matolori ya kuuzia ice creame yakionekana kununiwa leo,huku wapita njia wakiendelea kupiga mbizi kwenye maji hayo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w2zA45p3-YU/VKE3jxAjBSI/AAAAAAAG6Wk/D_KJErjo5D8/s1600/DSC_1132.jpg)
Hapa ndio inakuwaga kimbebe,maana daladala ndio lishabuma tena.
![](http://3.bp.blogspot.com/-E2U6E7KWr9U/VKE5P-BqPlI/AAAAAAAG6X4/eMPQS2Xyxqg/s1600/DSC_0114.jpg)
Hakuna namna nyingine ya kuyakwepa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Manji asema basi Yanga
MWENYEKITI wa Yanga ya jijini Dar es Salaam, Yusuph Manji, ametangaza kutowania tena uenyekiti wa klabu hiyo katika uchaguzi mkuu ujao ili kutoa nafasi kwa wanachama wengine wapate fursa ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania