TASWIRA ZA MAJERUHI KATIKA AJALI YA BASI LA BURUDANI, KOROGWE
![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoQOEv6TkmINPuAK5m3lAGGA03liUFLnfjXwqQSM22ezIZfep0H6uNzMS6HZjZcG7a7GweJ1mTWbIdVyLu6kG*l/burudani3.jpg?width=650)
Hospitali ya wilaya ya Korogwe. Majeruhi wakipatiwa matibabu. Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo ( kushoto)…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX1-ZZHL4rvF6VtM89S-qA2Q8lVcJLmxcQqVZmn1xeFjPoS7RlJwDplZ1ZpvgECZRl0eLCsbEdMme-nfInCuX041/2.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MAJERUHI WA AJALI YA BASI LA LUHUYE WAKIWA HOSPITALI YA RUFAA BUGANDO, MWANZA
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Majeruhi ajali ya basi na treni wasaidiwa
SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro na wadau wengineo wametoa misaada mbalimbali zikiwemo fedha tasilimu kwa majeruhi wa ajali ya basi kugonga treni wanaotibiwa hospitali ya Mt. Francis wilayani hapa. Katika...
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Waliokufa, majeruhi ajali ya basi waanza kutambuliwa
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
MAITI mbili kati ya nne za ajali ya basi la kampuni ya Air Bus iliyotokea juzi wilayani Gairo, zimetambuliwa.
Basi hilo lilipata ajali likiwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora.
Aidha, majeruhi 30 wa ajali hiyo bado wamelazwa katika hospitali za Berega na ya rufani ya mkoa wa Morogoro, wakipatiwa matibabu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul, alisema jana ofisini kwake mjini hapa kuwa waliotambuliwa ni Amina Rashid (50), mkulima na mkazi wa...
11 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI YA BASI LA HOOD ILIYOUA MMOJA NA KUJERUHI 27 MKOANI MORO LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVX16ma6BpqjFDqhUvlstr2dbfkdYHTSaPkQDbtT119fZPQcfGBv6TSfoiGMSJmwgW-HbNHQtcE9KsvJOL2jkkWv/1ajaliyabasi1.jpg)
TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA LUHUYE LILILOUA ZAIDI YA WATU 10 JANA MKOANI MWANZA
11 years ago
GPLPICHA ZA KWANZA ZA MAJERUHI KATIKA AJALI YA MAREHEMU TYSON
10 years ago
Dewji Blog29 Aug
Watu kumi wamefariki dunia na majeruhi saba katika ajali mbaya iliyotokea Mbalizi leo
![3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/315.jpg)
10 years ago
Michuzi24 Aug
MH. MWIGULU NCHEMBA ASITISHA SAFARI YAKE KWA MUDA ILI KUOKOA MAJERUHI KATIKA AJALI YA GARI
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/zNSUlad0f0waWsFOdB5TagOux0BJktrAtUiOmPzXHqRjttpbGrgPhWPZkZbba6JozK24hxPqady5HnzWfmuv41b5tqNT-VHYA9pA9wVV0up5kqOjgAoMO7ZmVAzXjGiwgqaAhWFm7AHBsbNMXMlHeD2DqS0CvPIykuJiiN3aPH9Nm2yyhA2HcKY4l4qXd_gu-sjyVj1vp6nixnZsCTl9iexZEnkH4qnqiDUNRdr-bngLZ_ZcC_mGMnwhtExBxqwFqMbGH0Ku69WN-9QM0WyTBjtEUePcsQQt-JjqFUy1X0sGzlNamm95HKnfdbA=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/10250342_280900248778877_347680025182044098_n.jpg?oh=23b9cfd01c14c4381d5172620916f2ab&oe=5461CCB1&__gda__=1417320399_db63509e4b817492a59ae81dafb1b89a)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/8wf6dWeWJi36DjT6xNX2AmlfXJSHR4QrYj_gzNxSXKXTWi4qtb_6jaXOxJVlN5AkkENW0Qod7IkL0n69_UkMS2uThtbJnICdRQosdQVUp8VfK_JQRj2uWj3TqaohP1vrRJaD3oNN7ZOTUxwpyk2pokN8gF2wxjXn1_iX_sjK9Wvkot6cuXs8AkqsEooLDXYRN3l4LhOEimHC7Jnh53IDa1YEtpipT7tV1-kExDtuN0Y5QQg=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10511125_280900188778883_2263182981070753717_n.jpg?oh=57f90863f692a4cb510ae6029f1dd0fa&oe=54811CFC)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/uNb8WgcuWX6P5qXLdrmuoVxacJc6sl-R_x0_pJiVYvYs3hDcgBw2hfcCqfLs4JALif0oJxMkjSBQFKenYnvNwWYsT2kaufmTRtHi5Dy4xQDB-ZNgroV2jM8pzGW3fgxhgjsxXFdtfSRLfSsOXKvavrq5cTFy0lUY3kaB5lMsTdgkMySBmsTF6cysXhZ8WR9auLxUlfZQBKBv2C802qNdh4lYea-bcqO-BQJEfTB7f_YJ3-VO043b41SUhvUXuXvP8nbQygTWuGZlOX1yVK_oMBmyCl4GZkWYaWwxDTJjPsZRVtpflPZpZpxk1LFX=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10629866_280900275445541_1641465419404022922_n.jpg?oh=f157a76850a17118d2fa08b4dc24159f&oe=5480E7A7&__gda__=1417158267_202c931c85e15e7a9aa7d40a4ae5e9d2)
9 years ago
Habarileo11 Nov
Watoto wafa katika ajali ya basi
WATOTO wawili wamekufa papo hapo na watu wengine 53 wamejeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka kijiji cha Pida, wilaya ya Butiama mkoani Mara.