Waliokufa, majeruhi ajali ya basi waanza kutambuliwa
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
MAITI mbili kati ya nne za ajali ya basi la kampuni ya Air Bus iliyotokea juzi wilayani Gairo, zimetambuliwa.
Basi hilo lilipata ajali likiwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora.
Aidha, majeruhi 30 wa ajali hiyo bado wamelazwa katika hospitali za Berega na ya rufani ya mkoa wa Morogoro, wakipatiwa matibabu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul, alisema jana ofisini kwake mjini hapa kuwa waliotambuliwa ni Amina Rashid (50), mkulima na mkazi wa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Waliokufa ajali ya basi Mafinga sasa wafikia 50
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Majeruhi ajali ya basi na treni wasaidiwa
SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro na wadau wengineo wametoa misaada mbalimbali zikiwemo fedha tasilimu kwa majeruhi wa ajali ya basi kugonga treni wanaotibiwa hospitali ya Mt. Francis wilayani hapa. Katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoQOEv6TkmINPuAK5m3lAGGA03liUFLnfjXwqQSM22ezIZfep0H6uNzMS6HZjZcG7a7GweJ1mTWbIdVyLu6kG*l/burudani3.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MAJERUHI KATIKA AJALI YA BASI LA BURUDANI, KOROGWE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX1-ZZHL4rvF6VtM89S-qA2Q8lVcJLmxcQqVZmn1xeFjPoS7RlJwDplZ1ZpvgECZRl0eLCsbEdMme-nfInCuX041/2.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MAJERUHI WA AJALI YA BASI LA LUHUYE WAKIWA HOSPITALI YA RUFAA BUGANDO, MWANZA
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4E-JB2WyMDQ/VcytA93NwjI/AAAAAAABTsc/E8RnTKQcJb0/s72-c/3a59cde0-41b8-11e5-9da2-e1a5aa2506c2_AP_823621262415.jpg)
WALIOKUFA MLIPUKO WA CHINA WAFIKIA WATU 50, MAJERUHI 700
![](http://1.bp.blogspot.com/-4E-JB2WyMDQ/VcytA93NwjI/AAAAAAABTsc/E8RnTKQcJb0/s640/3a59cde0-41b8-11e5-9da2-e1a5aa2506c2_AP_823621262415.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iGPexHxb8Q4/VcytDok459I/AAAAAAABTtA/ic5HTmBUF_E/s640/Part-HKG-Hkg10201885-1-1-0.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t0en-grhM6M/VcytC1OrLKI/AAAAAAABTso/gZPPOHL7Bqs/s640/3f308340-41b8-11e5-9da2-e1a5aa2506c2_AP_79637596873.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-luzbe7f1IDI/VcytCofyjBI/AAAAAAABTs8/-f-cPWHUXqI/s640/29e56b333610f1247e0f6a7067003e1b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ewj7fAAtwCg/VcytCgjJ3rI/AAAAAAABTsk/w7M6wkpYADo/s640/37257de0-41b8-11e5-9da2-e1a5aa2506c2_GettyImages-483769984.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HhWoeXHxfEE/VcytEUF-RdI/AAAAAAABTtE/zpNVexrwD74/s640/a2fd49d53607f1247e0f6a706700df53.jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Waliokufa ajali ya moto Mbagala wafikia saba
IDADI ya watu waliokufa kwa ajali moto iliyotokea baada ya lori la mafuta kupinduka eneo la Mbagala Charambe jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki imeongezeka na kufikia saba huku...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGh8AstKB-LAkGpp6cRG5Au15L349-QpGfW2503-WiGVfrCkIokZs38KuM5syuDVw6hrJfLxeKmVHG85Po4HMZxI/Wabunge.jpg)
TUJIONGEZE: WABUNGE WA TANZANIA WALIOKUFA KWA AJALI
10 years ago
Habarileo25 Oct
MOI yafurika majeruhi ajali za bodaboda
TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) imesema imekuwa ikipokea asilimia kubwa ya wagonjwa walioumia vichwa na migongo, kutokana na ajali zinazosababishwa na pikipiki.