Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliokufa ajali ya basi Mafinga sasa wafikia 50

Idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali ya Basi la Majinjah imeongezeka na kufikia 50. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alisema maiti zilizotambuliwa na zile zilizobakia, walipohesabu waligundua idadi yao kufikia 50.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waliokufa sasa wafikia tisa

Majeruhi wa moto uliotokana na mlipuko wa lori la mafuta eneo la Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam wameendelea kupoteza maisha baada ya wawili zaidi kufariki dunia na kufanya idadi yao kufikia tisa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Waliokufa ajali ya moto Mbagala wafikia saba

IDADI ya watu waliokufa kwa ajali moto iliyotokea baada ya lori la mafuta kupinduka eneo la Mbagala Charambe jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki imeongezeka na kufikia saba huku...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Waliokufa, majeruhi ajali ya basi waanza kutambuliwa


NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
MAITI mbili kati ya nne za ajali ya basi la kampuni ya Air Bus iliyotokea juzi wilayani Gairo, zimetambuliwa.
Basi hilo lilipata ajali likiwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Tabora.
Aidha, majeruhi 30 wa ajali hiyo bado wamelazwa katika hospitali za Berega na ya rufani ya mkoa wa Morogoro, wakipatiwa matibabu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul,  alisema jana ofisini kwake mjini hapa kuwa waliotambuliwa ni Amina Rashid (50), mkulima na mkazi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi

Kwa mara nyingine, nchi yetu imepata janga jingine kubwa baada ya ajali mbili kutokea katika mikoa ya Pwani na Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo kwa watu zaidi ya 30.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA

Watu zaidi ya 30 wanasadikiwa kupoteza na maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya sana katika ajali mbaya iliyotokea mapema leo asubuhi,maeneo ya Changarawe,Mafinga Mkoani Iringa,iliyohusisha Lori la Mizigo na Basi la abiria la Kampuni ya Majinja lililokuwa likitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar es salaam.
Ajali hiyo imetokea baada ya Lori hilo la Mizigo lililokuwa likitokea Jijini Dar kuelekea Mbeya kuligonga na kuliangukia basi hilo wakati lililokuwa likikwepa shimo kubwa lililopo...

 

10 years ago

Habarileo

Waliokufa mafuriko ya Dar wafikia 12

Mmoja wa waathirika wa mafuriko eneo la Jangwani, Dar es Salaam akiandaa chakula cha mchana katika makazi ya muda ndani ya Kituo cha Mabasi yaendayo kasi cha Jangwani, jijini jana. (Picha na Fadhili Akida).MIILI zaidi ya watu waliokufa katika mafuriko ya mvua inayoendelea kunyesha Dar es Salaam, imeongezeka na kufikia 12 akiwemo mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Kigogo mwenye umri wa miaka 13.

 

9 years ago

Habarileo

Waliokufa hijja Makka wafikia 22

IDADI ya mahujaji wa Tanzania waliopoteza maisha katika ajali iliyotokea Saudi Arabia imefikia 22.

 

10 years ago

Habarileo

Waliokufa maafa ya mvua wafikia 47

IDADI ya watu waliofariki kutokana na mvua kubwa ya mawe, iliyopewa jina la tonado, sasa imefikia watu 47 baada ya majeruhi mwingine aliyekuwa amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Kahama kufariki dunia juzi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Waliokufa moto Mbagala wafikia watano

WATU watano wamefariki dunia na wengine 16 kujeruhiwa kutokana na ajali ya moto iliyotokea Mbagala jijini Dar es Salaam juzi. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Kanda Maalum Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani