Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi

Kwa mara nyingine, nchi yetu imepata janga jingine kubwa baada ya ajali mbili kutokea katika mikoa ya Pwani na Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo kwa watu zaidi ya 30.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waliokufa ajali ya basi Mafinga sasa wafikia 50

Idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali ya Basi la Majinjah imeongezeka na kufikia 50. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alisema maiti zilizotambuliwa na zile zilizobakia, walipohesabu waligundua idadi yao kufikia 50.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Kashfa hizi kwa Serikali sasa basi

>Jana katika tovuti hii tulitoa habari iliyowakariri viongozi wa dini wakionyesha kukerwa na vitendo vya ufisadi, wizi, uzembe ikiwamo kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tumeshitushwa na ajali hizi

WIKI hii zimetokea ajali kubwa mbili za barabarani ambazo zimepoteza zaidi ya watu 30 ndani ya saa 24. Ajali ya kwanza ilitokea juzi na kusababisha vifo vya wanawake 13 waliokuwa...

 

11 years ago

GPL

AJALI HIZI ZINAEPUKIKA!

HABARI za leo wapendwa wasomaji. Ni matumaini yangu kuwa Mwenyezi Mungu ameendelea kuwa upande wetu kama ilivyo siku zote. Ni faraja sana kuona kila jambo zuri au baya, limetokea kutokana na karama yake. Raia wakishuhudia sehemu kubwa ya basi iliyotoka nje kutokana na ajali na kusababisha vifo. Ninapenda kwa mara nyingine, kuchukua fursa hii kuwashauri kuendelea kuamini katika Mungu, kwani kwake yeye, kila jambo linawezekana,...

 

10 years ago

Mtanzania

Ajali za mabasi zaua 10

AMINA OMARI NA OSCAR ASSENGA, HANDENI
WATU 10 wamefariki dunia papo hapo na wengine 35 wamejeruhiwa baada ya mabasi mawili ya abiria na gari dogo kugongana.
Kati ya majeruhi hao, saba hali zao ni mbaya na walikimbizwa Hospitali ya Wilaya ya Handeni kutoka Kituo cha Afya Mkata walikokuwa wakitibiwa.
Ajali hiyo ilitokea jana mchana katika Kijiji cha Mbweni kilichopo Mkata, Wilaya ya Handeni, Mkoa wa Tanga.
Akizungumza na MTANZANIA kwa simu jana, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma...

 

11 years ago

GPL

AJALI HIZI ZITAISHA LINI?

Gari aina ya Toyota Hilux limetumbukia kwenye mtaro uliopo Sinza-Makaburini jijini Dar es Salaam baada ya dereva aliyekuwa akiliendesha gari hiyo kushindwa kulimudu. Pichani wasamaria wema wakishirikiana kulinasua gari hilo. (PICHA : RICHARD BUKOS / GPL)

 

10 years ago

GPL

AJALI HIZI, KUNA KITU

Ajali iliyohusisha basi la kampuni ya Nganga na Fuso yakiwaka moto. KWANZA kabisa tumshukuru Mungu kwa kutuweka hai, hakika yeye anastahili kuabudiwa kila siku.
Baada ya kusema hayo nianze kwa kuwataka wasomaji wangu kutafakari kwa kina hizi ajali za mabasi zinazotokea mara kwa mara katika barabara za nchi yetu. Kwa muda wa siku zisizozidi kumi na nane zimetokea ajali mbaya tatu za mabasi na kusababisha Watanzania wenzetu zaidi...

 

11 years ago

Habarileo

Mabasi yapata ajali na kujeruhi 29

WATU 29 wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti zilizotokea katika barabara kuu ya Morogoro-Dar es Salaam kwenye maeneo ya Mikese na Mkambalani, mkoani hapa.

 

11 years ago

GPL

AJALI YA BASI BUNDA

 Toyota Coaster lenye namba za usajili T 399 BYC lililokuwa likitokea Musoma kwenda Bunda likiwa limepata ajali mchana huu eneo la Bitaraguru, Bunda mkoani Mara. Baadhi ya abiria walionusurika katika ajali wakisaidiwa kutoka kwenye basi hilo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani