Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Kashfa hizi kwa Serikali sasa basi

>Jana katika tovuti hii tulitoa habari iliyowakariri viongozi wa dini wakionyesha kukerwa na vitendo vya ufisadi, wizi, uzembe ikiwamo kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi

Kwa mara nyingine, nchi yetu imepata janga jingine kubwa baada ya ajali mbili kutokea katika mikoa ya Pwani na Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo kwa watu zaidi ya 30.

 

10 years ago

Michuzi

MAUAJI KITETO SASA BASI - SERIKALI

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Peter Pinda (Mb) akizungumza na Kamati ya Uongozi ya Bunge leo na kuainisha hatua madhubuti za kuchukuliwa na serikali ili kukomesha mauaji baina ya wakulima na wafugaji yanayoendelea Mkoani Manyara wilaya Kiteto na sehemu nyingine nchini. Wajumba wa Kamati ya Uongozi ya Bunge wakimsikiliza Waziri Mkuu kwa umakini mkubwa alipokuwa akitanabaisha jinsi Serikali isivyopendezwa na mauaji ya Kiteto na jinsi ilivyojipanga kukomesha kabisa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tumejifunza nini kutokana na kashfa hizi?

Tanzania imekumbwa na kashfa nyingi kubwa tangu ipate uhuru wake.

 

10 years ago

Vijimambo

Nyaraka Hizi Hapa: Kashfa ya Richmond


Naomba wachangiaji msome barua ya katibu mkuu wizara ya madini kwa umakini mkubwa.Katibu alipewa mamlaka ya kuingia mkataba na RICHMOND baada ya baraza la mawaziri kuridhia mapendekezo kutoka kamati ya serikali ya majadiliano (GNT).Credit:Kengete blog




 

10 years ago

GPL

GARDNER KWA HALI HII SASA IDE BASI TENA

Stori: Erick Evarist na Imelda Mtema
JAHAZI linazidi kwenda mrama! Wakati shauri lao la kugawana mali likidaiwa kufikishwa mahakamani, picha mpya imenaswa ikionesha dhahiri kwamba Mtangazaji Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteni’ ameamua kusonga mbele na maisha yake na kusahau kabisa kama alikuwa na mke aitwaye Judith Daines Wambura Mbibo ‘Jide’, Amani linakupa mchapo kamili. Mtangazaji Gardner...

 

9 years ago

Bongo5

Hizi ni chati za Afrika ambazo ‘Never Ever’ ya Vanessa Mdee inasumbua kwa sasa

vee4

Wimbo wa Vanessa Mdee ‘Never Ever’ ambao video yake ilianza kutoka October 9 kwa kutambulishwa kupitia Trace Urban na kufatiwa na audio iliyotoka Oct 12, unaendelea kushika chati mbalimbali za vituo vya TV pamoja na radio barani Afrika.

vee4

Baadhi ya chati ambazo wimbo huo uliopikwa na producer anayesumbua sana kwa sasa Nahreel wa The Industry na video kuongozwa na Justin Campos, ni pamoja na Africa Top 10 ya Trace Urban ambapo kwa wiki hii imekamata nafasi ya pili.

Chati nyingine ni Africa...

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. HAWA GHASIA ASEMA HAJIUZULU NG'O KUFUATIA KASHFA YA KUVURUGIKA KWA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA


Waziri wanchi ofisi ya waziri mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia, amesema leo Jumatano Desemba 17, 2014, kuwa hatajiuzulu ng’o kutoka wadhifa wake, kufuatia kashfa ya kuvurugika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa kwenye baadhi ya maeneo hapa nchini Jumapili iliyopita. Badala yake, waziri Ghasia amesema wakurugenzi watano wamefutwa kazi, huku wenghine kadhaa wamesimamishwa na wengine kushushwa vyeo. Waziri Ghasia, akitoka kwenye cnhumba cha mkutano na waandishi wa habafri mara baada ya kuzungumza...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Serikali isifanye mambo kwa mtindo wa zimamoto

>Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe ametangaza hatua ambazo Serikali imekusudia kuzichukua dhidi ya taasisi zote zilizosajiliwa kwenye wizara yake akisema zimekuwa zikikiuka malengo ya kuanzishwa kwake na kufanya mambo tofauti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani