Tumejifunza nini kutokana na kashfa hizi?
Tanzania imekumbwa na kashfa nyingi kubwa tangu ipate uhuru wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Lipumba: Tumejifunza kutokana na makosa, haturudii
Kwa muda mrefu, Chama cha Wananchi (CUF) kimekuwa ni kinara miongoni mwa vyama vya upinzani, lakini katika uchaguzi wa mwaka 2010 chama hicho kilikuwa nyuma ya Chama cha |Demokrasia na Maendeleo (Chadema), hali inayokifanya kionekane kwamba kimepoteza nguvu.
10 years ago
GPLWATANZANIA TUMEJIFUNZA MENGI KUTOKANA NA SAKATA LA ESCROW
Zitto Kabwe. MWANDISHIÂ Eric Shigongo
MUNGU ni mwema ndiyo maana leo tupo salama na tunapumua tukiwa na afya njema, kwa wale wanaoumwa nawaombea kwake wapate afya njema ili warejee waweze kumtumikia na kumhimidi daima. Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema kuwa suala la pesa za umma zilizokuwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow limekuwa gumzo kubwa nchini kwa muda mrefu sasa. Ukaguzi maalum uliofanywa na Mkaguzi Mkuu wa...
11 years ago
Tanzania Daima20 Jan
Tumejifunza nini Bukoba?
KWA miezi minane mfululizo, gazeti la Tanzania Daima limekuwa linaandika habari za mgogoro wa Manispaa ya Bukoba, mkaoni Kagera, likifichua ufisadi wa Meya na wenzake, na kuunga mkono jitihada za ...
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Tumejifunza nini vurugu za Port Said?
Wiki hii ulimwengu wa soka ulishuhudia uamuzi wa tofauti na mazoea, mahakama mjini Port Said huko Misri iliwahukumu kifo watu 11 ambao walitajwa kuhusika na vurugu zilizotokea uUwanjani huko Port Said mwaka 2012 kwenye mchezo wa soka baina ya wenyeji Al-Masry na National Al-Ahli.
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Tumejifunza nini Wiki ya Usalama Barabarani?
Tangu wiki iliyopita, nchi yetu imekuwa katika maadhimisho ya Wiki ya Usalama Barabarani. Wakati maadhimisho hayo yakifika ukingoni wiki hii, tunadhani ingekuwa vyema kila mwananchi akatafakari kwa kina nini amejifunza kutokana na maadhimisho hayo.
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Bunge la Katiba limemalizika, tumejifunza nini?
Bunge la Katiba limemaliza shughuli zake mjini Dodoma jana kwa kupitisha Rasimu ya Katiba Mpya ambayo, kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, inapaswa kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura ya maoni.Â
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-o2-5U1lmIVE/Vcu_cZPmIMI/AAAAAAAD3Gg/V3aUVSF6jnI/s72-c/0%252C%252C16052859_303%252C00.jpg)
Nyaraka Hizi Hapa: Kashfa ya Richmond
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2-5U1lmIVE/Vcu_cZPmIMI/AAAAAAAD3Gg/V3aUVSF6jnI/s640/0%252C%252C16052859_303%252C00.jpg)
Naomba wachangiaji msome barua ya katibu mkuu wizara ya madini kwa umakini mkubwa.Katibu alipewa mamlaka ya kuingia mkataba na RICHMOND baada ya baraza la mawaziri kuridhia mapendekezo kutoka kamati ya serikali ya majadiliano (GNT).Credit:Kengete blog
![](http://3.bp.blogspot.com/-jr4VLmwrpzk/VctyDCSffRI/AAAAAAAAJgQ/dmx3KUAtjWk/s1600/11229361_880645252010391_676831913078191289_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-N2AzPScNRLo/VctyDcwnJvI/AAAAAAAAJgM/u1jf44PShcs/s1600/11222023_880645275343722_6512420941861270747_n.jpg)
10 years ago
Bongo514 Dec
Tumejifunza nini kwa mwamko huu tulioonesha kwa Idris na Happiness?
Diamond Platnumz, Idris Sultan na Happiness Watimanywa wamesaidia kuonesha wazi nguvu tuliyonayo Tanzania. Kutoka kwenye ushindi wa tuzo tatu za Channel O uliompa Diamond sifa nyingine kwenye CV yake hadi kwenye ushindi wa pili wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa uliompa utajiri wa zaidi ya shilingi milioni 514 mpiga picha Idris Sultan na […]
10 years ago
Mwananchi27 Dec
MAONI: Kashfa hizi kwa Serikali sasa basi
>Jana katika tovuti hii tulitoa habari iliyowakariri viongozi wa dini wakionyesha kukerwa na vitendo vya ufisadi, wizi, uzembe ikiwamo kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania