Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumejifunza nini kwa mwamko huu tulioonesha kwa Idris na Happiness?

Diamond Platnumz, Idris Sultan na Happiness Watimanywa wamesaidia kuonesha wazi nguvu tuliyonayo Tanzania. Kutoka kwenye ushindi wa tuzo tatu za Channel O uliompa Diamond sifa nyingine kwenye CV yake hadi kwenye ushindi wa pili wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa uliompa utajiri wa zaidi ya shilingi milioni 514 mpiga picha Idris Sultan na […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

‘Tanzania ni mfano wa kuiga’ asema mrembo wa Burundi kutokana na umoja tulionesha kwa Idris na Happiness Watimanya

Diamond Platnumz na Idris Sultan wameiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia baada ya ushindi wao wa tuzo ya Channel O na Big Brother Afrika. Lakini hayo yote yasingewezekana bila ushirikiano uliooneshwa na Watanzania katika kuwapigia kura. Mwamko huo umeendelea kuonekana pia katika kumpigia kampeni Miss Tanzania, Happiness Watimanywa. Umoja huo umemkuna mrembo wa Burundi anayeishi […]

 

11 years ago

GPL

KWA NINI TENDE ZINALIWA SANA WAKATI HUU?

Ni swali linaloulizwa na watu wengi msimu huu wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Tunda hili lina historia ndefu, ukiacha imani ya kidini kuwa ni suna kuanza kufungua kwa kula tende, kisayansi tende imethibitika kusheheni madini na vitamini lukuki. ZIJUE FAIDA 10 ZA TENDE
1. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha mafuta (fat) na haina lehemu (kolestrol). Pasipo na chakula, mtu unaweza kuishi siku nyingi kwa kula tende tu. 2. Ukila...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -3

MSINGI wa makala haya ni kukutaka ubaki njia kuu. Usiupuuze uhusiano wako unaokupa faraja kwa tamaa za muda mfupi. Tupo sehemu ya tatu, na ni imani yangu kubwa kwamba mwisho wa somo hili, utajifunza kitu kikubwa sana. Ni ukweli ulio wazi kuwa huna sababu ya kujuta, badala yake unachotakiwa kufanya ni kutimiza wajibu wako leo. Siku zote ni lazima ukumbuke kuwa mapenzi uliyonayo au unayopata kutoka kwa mwenzi wako hivi sasa,...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -6

Gaudensia: “Kwa hiyo umeacha makusudi ili kunithibitishia kuwa ulikuwa ukitembea na wanawake ovyoovyo?” Reina: “Siyo kutembea ovyoovyo, kwani wewe ulitegemea muda huo wote ningekuwa bila mwanamke? Acha utani kabisa, hata wewe kule Dodoma mimi nitajuaje kama siku zote hukuwa na wanaume? Tena nyie wanafunzi wa Udom kwa wabunge ndiyo zenu.” Baada ya kuzungumza hivyo, Gaudensia alianza kufanya usafi kwa...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -7

Janga kuu ambalo limeendelea kusumbua ni kuwa mtu akiwa nacho anaweza kukifuja utadhani hakitaondoka. Ni kosa kubwa kushindwa kumtunza mwenzi wako kwa kiburi tu kuwa kwako ameshafika na hataondoka. Usicheze na moyo wa mwenzio. Usifanye majaribio ya kujuta baadaye. Kufanya jambo lolote la maudhi kwa mwenzi wako kwa makusudi ni jaribio la wewe kujuta baadaye. Unayemuudhi ni binadamu, ana moyo kama ulionao wewe. Siku atakapofanya...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -8

Tunaendelea na mada yetu ambayo tulianza nayo wiki kadhaa zilizopita. Lengo ni kuwekana sawa katika suala zima la mapenzi ili asiwepo wa kuja kujuta baadaye kwa sababu alishindwa kutimiza wajibu wake kwa ampendaye. Tunaendelea na mifano ya jinsi kushindwa kutimiza wajibu kunavyoweza kuleta athari. Endelea... akuishia hapo, Hawa akaanzisha uhusiano wa pembeni na wanaume wengine. Matali alipoona mambo magumu, ikabidi aachie ngazi....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tumejifunza nini Bukoba?

KWA miezi minane mfululizo, gazeti la Tanzania Daima limekuwa linaandika habari za mgogoro wa Manispaa ya Bukoba, mkaoni Kagera, likifichua ufisadi wa Meya na wenzake, na kuunga mkono jitihada za ...

 

10 years ago

Mwananchi

Tumejifunza nini vurugu za Port Said?

Wiki hii ulimwengu wa soka ulishuhudia uamuzi wa tofauti na mazoea, mahakama mjini Port Said huko Misri iliwahukumu kifo watu 11 ambao walitajwa kuhusika na vurugu zilizotokea uUwanjani huko Port Said mwaka 2012 kwenye mchezo wa soka baina ya wenyeji Al-Masry na National Al-Ahli.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumejifunza nini kutokana na kashfa hizi?

Tanzania imekumbwa na kashfa nyingi kubwa tangu ipate uhuru wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani