‘Tanzania ni mfano wa kuiga’ asema mrembo wa Burundi kutokana na umoja tulionesha kwa Idris na Happiness Watimanya
Diamond Platnumz na Idris Sultan wameiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia baada ya ushindi wao wa tuzo ya Channel O na Big Brother Afrika. Lakini hayo yote yasingewezekana bila ushirikiano uliooneshwa na Watanzania katika kuwapigia kura. Mwamko huo umeendelea kuonekana pia katika kumpigia kampeni Miss Tanzania, Happiness Watimanywa. Umoja huo umemkuna mrembo wa Burundi anayeishi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
IPPmedia15 Nov
Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanya
IPPmedia
IPPmedia
The 2013 Miss Tanzania Happiness Watimanya jets today to London to represent the country in this year's Miss World beauty contest. The 64th edition of the Miss World pageant will be held on December 14 at ExCeL London in London. Megan Young of the ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qCb_XEnaDrk/VIKegTT3r2I/AAAAAAAG1fo/NPBiG0QuCZ0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanya at the Miss World in London
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UK6Ma81aPfM/XvSRa5Q07wI/AAAAAAALvX4/UCipZyDLPkA2bt5LzIm-xW_QnV5zf4h3wCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_8610AAA-768x512.jpg)
KINONDONI YAPONGEZWA KWA KUJENGA UWANJA WA MPIRA WA KISASA, TIMU KUBWA ZATAKIWA KUIGA MFANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-UK6Ma81aPfM/XvSRa5Q07wI/AAAAAAALvX4/UCipZyDLPkA2bt5LzIm-xW_QnV5zf4h3wCLcBGAsYHQ/s640/DSC_8610AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/DSC_8616AAA-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Tamisemi Mhe. Josephat Kandege akikagua muonekano wa uwanja wa mpira wa miguu wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni wakati alipotembelea uwanja huo ,mwenyesuti ya Dakbluu ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Daniel Chongolo.
……………………………………………………………………………………..
Manispaa ya Kinondoni imepongezwa kwa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu wenye uwezo wa kuchukua takriban idadi ya mashabiki 3600 kwa mara moja.
Pongezi hizo zimetolewa na Naibu wa Waziri wa Tawala za Mikoa na...
10 years ago
Bongo514 Dec
Tumejifunza nini kwa mwamko huu tulioonesha kwa Idris na Happiness?
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Balozi Mulamula awaaga TAMCO rasmi, asema umoja na mshikamano wao ni mfano wa kuigwa na jumuiya zingine
Na Mwandishi wetu, Washington, DC
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na aliyekua Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula siku ya Jumapili July 12, 2014 alijumuika na wanajumuiya ya Kiislam ya DMV (TAMCO) katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na jumuiya hiyo na kutumia fulsa hiyo kuwaaga rasmi.
Katika hotuba yake. Mhe. Liberata Mulamula aliwakuwakumbusha alipokuja kwa mara ya kwanza kulitumikia Taifa kama Balozi wa Tanzania nchini Marekani ,...
10 years ago
VijimamboBALOZI LIBERATA MULAMULA AWAAGA TAMCO RASMI, ASEMA UMOJA NA MSHIKAMANO WAO NI MFANO WA KUIGWA NA JUMUIYA ZINGINE
Katika hotuba yake. Mhe. Liberata Mulamula aliwakuwakumbusha alipokuja kwa mara ya kwanza kulitumikia Taifa kama Balozi wa Tanzania nchini...
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Boko Haram kuiga mfano wa Islamic State
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_GHM1Cvpvdo/XvZFGOHhDTI/AAAAAAALvn4/cuyWKcerip0GVKtEAC6da8jDy6MBISz5QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200623-WA0073.jpg)
WAZIRI KAIRUKI APONGEZA NA KUWATAKA WAWEKEAZAJI WA VIWANDA KUIGA MFANO WA KAMPUNI QWIHAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_GHM1Cvpvdo/XvZFGOHhDTI/AAAAAAALvn4/cuyWKcerip0GVKtEAC6da8jDy6MBISz5QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200623-WA0073.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1whsxV17sJI/XvX2ArxIlyI/AAAAAAAAIAU/1clWDanUHl0ME-NWFUnDlzwjbpGNvqkfQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200623-WA0067.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya uchakataji nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises Company Ltd Leonard Maheda akimueleza jambo waziri Kairuki alipofanya ziara katika kiwanda hicho kilicho mkoani Iringa wilaya ya Mufindi
![](https://1.bp.blogspot.com/-1Bhf7N3FOgY/XvX2CQhxARI/AAAAAAAAIAc/0OthCndMOoMIN4ncCXWb4OdXtO_WJfWhQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200623-WA0080.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu,Uwekezaji Angellah Kairuki akitete jambo naMkurugenzi mtendaji wa kampuni ya uchakataji nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises Company Ltd Leonard Maheda pamoja na mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato...
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
EXCLUSIVE!!: Mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu na Idris wawakivutio kuapishwa kwa Dk.Magufuli
Wema Sepetu (katikati), Idris Sultan upande wa kulia na kushoto ni Mh. Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji wakipata picha ya pamoja katika jukwaa hilo la kulia ambalo lilikuwa maalum kwa wageni mbalimbali waalikwa na watu maalufu ndani na nje leo wakati wa tukio la kuapichwa kwa Rais wa awamu ya tano, Dk. John Pombe Magufuli.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[TEMEKE-DAR ES SALAAM] Wakati Watanzania na dunia nzima leo Novemba 5, 2015) imeshuhudia kuapishwa kwa rais wa tano...