Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumejifunza nini vurugu za Port Said?

Wiki hii ulimwengu wa soka ulishuhudia uamuzi wa tofauti na mazoea, mahakama mjini Port Said huko Misri iliwahukumu kifo watu 11 ambao walitajwa kuhusika na vurugu zilizotokea uUwanjani huko Port Said mwaka 2012 kwenye mchezo wa soka baina ya wenyeji Al-Masry na National Al-Ahli.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tumejifunza nini Bukoba?

KWA miezi minane mfululizo, gazeti la Tanzania Daima limekuwa linaandika habari za mgogoro wa Manispaa ya Bukoba, mkaoni Kagera, likifichua ufisadi wa Meya na wenzake, na kuunga mkono jitihada za ...

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba limemalizika, tumejifunza nini?

Bunge la Katiba limemaliza shughuli zake mjini Dodoma jana kwa kupitisha Rasimu ya Katiba Mpya ambayo, kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, inapaswa kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura ya maoni. 

 

10 years ago

Mwananchi

Tumejifunza nini kutokana na kashfa hizi?

Tanzania imekumbwa na kashfa nyingi kubwa tangu ipate uhuru wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumejifunza nini Wiki ya Usalama Barabarani?

Tangu wiki iliyopita, nchi yetu imekuwa katika maadhimisho ya Wiki ya Usalama Barabarani. Wakati maadhimisho hayo yakifika ukingoni wiki hii, tunadhani ingekuwa vyema kila mwananchi akatafakari kwa kina nini amejifunza kutokana na maadhimisho hayo.

 

10 years ago

Bongo5

Tumejifunza nini kwa mwamko huu tulioonesha kwa Idris na Happiness?

Diamond Platnumz, Idris Sultan na Happiness Watimanywa wamesaidia kuonesha wazi nguvu tuliyonayo Tanzania. Kutoka kwenye ushindi wa tuzo tatu za Channel O uliompa Diamond sifa nyingine kwenye CV yake hadi kwenye ushindi wa pili wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa uliompa utajiri wa zaidi ya shilingi milioni 514 mpiga picha Idris Sultan na […]

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Polisi imejifunza nini vurugu za washabiki wa Guinea?

>Usiku wa tarehe 5 Februari ulishuhudia vioja vya aina yake katika soka la Afrika na pengine aibu ambayo si rahisi kusahaulika katika ulimwengu wa soka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha:Tumejifunza licha ya kushindwa

Kocha wa kriketi wa Tanzania amesema kikosi chake kimepata uzoefu na kujifunza mengi wakati wa michuano ya vijana chini ya miaka 19 ya kufuzu kucheza kombe la Dunia .

 

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Tumejifunza kutokana na makosa, haturudii

Kwa muda mrefu, Chama cha Wananchi (CUF) kimekuwa ni kinara miongoni mwa vyama vya upinzani, lakini katika uchaguzi wa mwaka 2010 chama hicho kilikuwa nyuma ya Chama cha |Demokrasia na Maendeleo (Chadema), hali inayokifanya kionekane kwamba kimepoteza nguvu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani