Kocha:Tumejifunza licha ya kushindwa
Kocha wa kriketi wa Tanzania amesema kikosi chake kimepata uzoefu na kujifunza mengi wakati wa michuano ya vijana chini ya miaka 19 ya kufuzu kucheza kombe la Dunia .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Dec
LICHA YA KUTOKUWA NA MWENENDO MZURI KWENYE TIMU YAKE YA BWAWA LA MAINI KOCHA ASEMA
Balotelli haondoki ng'o, asema kocha
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/05/141205180304_mario_balotelli_racismo_640x360_pa_nocredit.jpg)
Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa hana mipango ya kumuuza mshambuliaji wa kilabu hiyo Mario Baloteli wakati wa dirisha la uhamisho la mwezi Januari.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 na ambaye amefunga mabao mawili katika mechi 15 amehusishwa na uhamisho wa Inter Milan kulingana na gazeti dello Sport.
''Hicho si kitu nilichofikiria kufanya,kusema ukweli'', alisema Rodgers.
''Tumekuwa na mechi...
11 years ago
Tanzania Daima20 Jan
Tumejifunza nini Bukoba?
KWA miezi minane mfululizo, gazeti la Tanzania Daima limekuwa linaandika habari za mgogoro wa Manispaa ya Bukoba, mkaoni Kagera, likifichua ufisadi wa Meya na wenzake, na kuunga mkono jitihada za ...
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Tumejifunza nini vurugu za Port Said?
Wiki hii ulimwengu wa soka ulishuhudia uamuzi wa tofauti na mazoea, mahakama mjini Port Said huko Misri iliwahukumu kifo watu 11 ambao walitajwa kuhusika na vurugu zilizotokea uUwanjani huko Port Said mwaka 2012 kwenye mchezo wa soka baina ya wenyeji Al-Masry na National Al-Ahli.
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Lipumba: Tumejifunza kutokana na makosa, haturudii
Kwa muda mrefu, Chama cha Wananchi (CUF) kimekuwa ni kinara miongoni mwa vyama vya upinzani, lakini katika uchaguzi wa mwaka 2010 chama hicho kilikuwa nyuma ya Chama cha |Demokrasia na Maendeleo (Chadema), hali inayokifanya kionekane kwamba kimepoteza nguvu.
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Bunge la Katiba limemalizika, tumejifunza nini?
Bunge la Katiba limemaliza shughuli zake mjini Dodoma jana kwa kupitisha Rasimu ya Katiba Mpya ambayo, kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, inapaswa kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura ya maoni.Â
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Tumejifunza nini kutokana na kashfa hizi?
Tanzania imekumbwa na kashfa nyingi kubwa tangu ipate uhuru wake.
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Tumejifunza nini Wiki ya Usalama Barabarani?
Tangu wiki iliyopita, nchi yetu imekuwa katika maadhimisho ya Wiki ya Usalama Barabarani. Wakati maadhimisho hayo yakifika ukingoni wiki hii, tunadhani ingekuwa vyema kila mwananchi akatafakari kwa kina nini amejifunza kutokana na maadhimisho hayo.
10 years ago
GPLWATANZANIA TUMEJIFUNZA MENGI KUTOKANA NA SAKATA LA ESCROW
Zitto Kabwe. MWANDISHIÂ Eric Shigongo
MUNGU ni mwema ndiyo maana leo tupo salama na tunapumua tukiwa na afya njema, kwa wale wanaoumwa nawaombea kwake wapate afya njema ili warejee waweze kumtumikia na kumhimidi daima. Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema kuwa suala la pesa za umma zilizokuwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow limekuwa gumzo kubwa nchini kwa muda mrefu sasa. Ukaguzi maalum uliofanywa na Mkaguzi Mkuu wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania