Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyaraka Hizi Hapa: Kashfa ya Richmond


Naomba wachangiaji msome barua ya katibu mkuu wizara ya madini kwa umakini mkubwa.Katibu alipewa mamlaka ya kuingia mkataba na RICHMOND baada ya baraza la mawaziri kuridhia mapendekezo kutoka kamati ya serikali ya majadiliano (GNT).Credit:Kengete blog




Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ILI KUBADILI HATI YA NYUMBA/KIWANJA KWA HARAKA ANDAA NYARAKA HIZI

Na  Bashir   Yakub.

Watu  wengi  wanaonunua  ardhi  wamekuwa  wakipata  usumbufu  mkubwa katika   kubadili  majina  yaani kutoka  mmiliki  wa  mwanzo  kwenda  kwa  mmilki mpya  aliyenunua. Upo  usumbufu ambao  husababishwa   kwa  makusudi na  maafisa  wanaohusika   lakini  pia  upo  usumbufu  ambao  husababishwa   na  watu  wenyewe  wanaotaka  kubadili  majina.  Awali  ya  yote  lazima  nikiri   kuwa  baadhi  ya  maafisa  wa  mamlaka  za  ardhi  husababisha  uchelewaji  kwa  makusudi  kabisa ...

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA 5 ZA USHAHIDI KUWA MAGUFULI HAKAMATIKI HIZI HAPA ONA LIVE DODOMA HAPA!!




Dr Magufuli ndiyo habari ya mjini hii ni ndani ya Dodoma na kutoa ujumbe wakusema kuwa Wafanyakazi wazembe,Nitalala nao mbeleeeeee

 

10 years ago

Mwananchi

Tumejifunza nini kutokana na kashfa hizi?

Tanzania imekumbwa na kashfa nyingi kubwa tangu ipate uhuru wake.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Kashfa hizi kwa Serikali sasa basi

>Jana katika tovuti hii tulitoa habari iliyowakariri viongozi wa dini wakionyesha kukerwa na vitendo vya ufisadi, wizi, uzembe ikiwamo kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Vijimambo

HII HAPA INAMHUSU YULE KIKONGWE ALIYEVUNJA HISTORIA KWA KUJIANDALIA JENEZA, HIZI HAPA SABABU ZINAZOMFANYA AJIANDAE KWA KIFO

Mkazi wa Kijiji cha Lundusi, Kata ya Peramiho, wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bibi Scholastica Mhagama amejiandalia jeneza lake ambalo litatumika kumzikia siku atakayoaga dunia. Bibi Scholastica Mhagama(76) ambaye amejiandalia jeneza lake litakalotumika kumzikia.Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Scholastica alisema alilitengeneza jeneza hilo zaidi ya miaka mitano iliyopita baada ya kuona anaishi kwa dhiki na anatengwa na baadhi ya watu.“Nilijitengenezea jeneza langu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatua hizi Maliasili zisiishie hapa

WIZARA ya Maliasili na Utalii jana iliwasimamisha kazi maofisa 21 wa Idara ya Wanyamapori. Naibu Waziri wa wizara hiyo, Lazaro Nyalandu, ndiye alitangaza uamuzi huo akisema hatua hiyo inatokana na...

 

9 years ago

Vijimambo

KURA ZA USHINDI WA URAIS HIZI HAPA

Huku zikiwa zimebaki siku 45 kuanzia leo kabla ya kufikiwa siku ya kupiga kura Oktoba 25 mwaka huu, imedhihirika kuwa wagombea wote wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwamo Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), watalazimika kufanya kazi ya ziada kushawishi wapigakura wa mikoa tisa ili kujihakikishia ushindi.

Uchunguzi uliofanywa na Nipashe umebaini kuwa mikoa hiyo tisa, ikiwamo yenye majiji...

 

9 years ago

GPL

SABABU 5 ZA KUMCHAGUA MAGUFULI HIZI HAPA

Dk. John Magufuli (CCM) . Na Daniel Mbega ILIKUWA miezi, wiki na sasa zimesalia siku tu kabla Watanzania hawajaamua kumchagua rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Oktoba 25, 2015. Jumla ya wagombea nane wa vyama mbalimbali wanawania nafasi hiyo adhimu ya kupokea kijiti kutoka kwa Jakaya Kikwete wa CCM. Wananchi wakimshangilia Magufuli hayupo… ...

 

10 years ago

GPL

SABABU ZA MWANAMKE KUCHEPUKA HIZI HAPA!

Wapenzi wasomaji kumekuwa na manenomaneno kwamba, baadhi ya wanawake wamekuwa na mwanaume zaidi ya mmoja, lakini nimefanya utafiti na kubaini wanaosababisha tabia hiyo ya michepuko ni wanaume ambao wameingia nao kwenye uhusiano. KWA NINI NASEMA HIVI?
Utakuta mwanamke alimpenda mwanaume fulani kwa sababu ya kufuata huduma na jinsi anavyomjali na kumheshimu ikiwa ni pamoja na kumjaza katika nafsi yake, pengine ndiyo anavyopenda au...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani