KURA ZA USHINDI WA URAIS HIZI HAPA
Huku zikiwa zimebaki siku 45 kuanzia leo kabla ya kufikiwa siku ya kupiga kura Oktoba 25 mwaka huu, imedhihirika kuwa wagombea wote wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwamo Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), watalazimika kufanya kazi ya ziada kushawishi wapigakura wa mikoa tisa ili kujihakikishia ushindi.
Uchunguzi uliofanywa na Nipashe umebaini kuwa mikoa hiyo tisa, ikiwamo yenye majiji...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo29 Oct
HIZI NDIZO SABABU YA KWANINI MATOKEO YA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO KURA ZILIZOPIGWA ZANZIBAR HAYAKUATHIRI KURA ZA NEC
![](https://zanzibarislamicnews.files.wordpress.com/2010/08/tume.jpg?w=570)
Katika uchaguzi wa Zanzibar, utaratibu ni kwamba Watanzania Zanzibar wanapiga kura 5, yaani Rais wa Zanz, Mwakilishi na diwani. Pia wanapiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge.
Kwenye kituo cha kupigia kura kuna meza 2. Moja ni ya tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) na nyingine ni ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Meza ya NEC ina watumishi wake na Meza ya ZEC ina watumishi wake.
Watumishi wa NEC wanaripoti moja kwa moja kwa NEC na watumishi wa ZEC wanaripoti moja kwa moja...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xK8e3SFFdl8/Vczq2c0iS8I/AAAAAAAB-34/h5sMyJwMVyk/s72-c/DOM%2B1.jpg)
PICHA 5 ZA USHAHIDI KUWA MAGUFULI HAKAMATIKI HIZI HAPA ONA LIVE DODOMA HAPA!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-xK8e3SFFdl8/Vczq2c0iS8I/AAAAAAAB-34/h5sMyJwMVyk/s640/DOM%2B1.jpg)
Dr Magufuli ndiyo habari ya mjini hii ni ndani ya Dodoma na kutoa ujumbe wakusema kuwa Wafanyakazi wazembe,Nitalala nao mbeleeeeee
![](http://1.bp.blogspot.com/-THK7CZMK904/Vczq4CjVlmI/AAAAAAAB-4A/Au7rwwrLlkw/s640/DOM%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9x92ROIgEHY/Vczq5so2BhI/AAAAAAAB-4I/9l4f3J3nxhE/s640/DOM%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cTG54kJP8Wo/Vczq7gmA6oI/AAAAAAAB-4Q/GmXDYaVtWZo/s640/DOM%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-loYEBl-Zuyk/Vczq-O9nlwI/AAAAAAAB-4Y/hHGdkE6xguM/s640/DOM%2B5.jpg)
10 years ago
Vijimambo20 Jan
HII HAPA INAMHUSU YULE KIKONGWE ALIYEVUNJA HISTORIA KWA KUJIANDALIA JENEZA, HIZI HAPA SABABU ZINAZOMFANYA AJIANDAE KWA KIFO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQs0dYxvfMX1So1uRqz*MY4f6-Hls5Qsb4CiAZ2ak*CFaYLOBzi8MHr9Z8UxRI7qeRjQESpflhbjaSrOsrOnodhUs8V8WabT/cheatingboyfriendhusband.jpg?width=650)
SABABU ZA MWANAMKE KUCHEPUKA HIZI HAPA!
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-o2-5U1lmIVE/Vcu_cZPmIMI/AAAAAAAD3Gg/V3aUVSF6jnI/s72-c/0%252C%252C16052859_303%252C00.jpg)
Nyaraka Hizi Hapa: Kashfa ya Richmond
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2-5U1lmIVE/Vcu_cZPmIMI/AAAAAAAD3Gg/V3aUVSF6jnI/s640/0%252C%252C16052859_303%252C00.jpg)
Naomba wachangiaji msome barua ya katibu mkuu wizara ya madini kwa umakini mkubwa.Katibu alipewa mamlaka ya kuingia mkataba na RICHMOND baada ya baraza la mawaziri kuridhia mapendekezo kutoka kamati ya serikali ya majadiliano (GNT).Credit:Kengete blog
![](http://3.bp.blogspot.com/-jr4VLmwrpzk/VctyDCSffRI/AAAAAAAAJgQ/dmx3KUAtjWk/s1600/11229361_880645252010391_676831913078191289_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-N2AzPScNRLo/VctyDcwnJvI/AAAAAAAAJgM/u1jf44PShcs/s1600/11222023_880645275343722_6512420941861270747_n.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Hatua hizi Maliasili zisiishie hapa
WIZARA ya Maliasili na Utalii jana iliwasimamisha kazi maofisa 21 wa Idara ya Wanyamapori. Naibu Waziri wa wizara hiyo, Lazaro Nyalandu, ndiye alitangaza uamuzi huo akisema hatua hiyo inatokana na...
9 years ago
GPLSABABU 5 ZA KUMCHAGUA MAGUFULI HIZI HAPA
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
Kuna mbinu chafu za ccm hizi hapa .
Viongozi wa Chadema/UKAWA kuweni Makini sana na huu mfumo wa BVR bao la mkono liko njiani kufanikiwa. Mkipuuza mtalia kilio ambacho hatapatikana mtu wa kuwafuta machozi. Vitambulisho fake ni vingi sana na hakuna mashine ya kuvitambua […]
The post Kuna mbinu chafu za ccm hizi hapa . appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Makamba: Sababu za CCM kushinda hizi hapa