Kuna mbinu chafu za ccm hizi hapa .
Viongozi wa Chadema/UKAWA kuweni Makini sana na huu mfumo wa BVR bao la mkono liko njiani kufanikiwa. Mkipuuza mtalia kilio ambacho hatapatikana mtu wa kuwafuta machozi. Vitambulisho fake ni vingi sana na hakuna mashine ya kuvitambua […]
The post Kuna mbinu chafu za ccm hizi hapa . appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Valentines Day: Je, unatafuta mpenzi - hizi hapa mbinu saba za kumtia 'kibindoni'
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Oct
HIZI NDIO MBINU ZA CCM ZA KUIBIA WANANCHI KURA ZAO
Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania wa kutoka Zanzibar na Tanganyika. Ama sina budi ila kumshukuru Allah Salawatu Wasalamu, kwakunipatia uzima, pumzi na wasia wakuweza kuandika Makala hii kwenu nyinyi WAZALENDO WA ZANZIBAR NA TANGANYIKA. Kama tulivosikia katika […]
The post HIZI NDIO MBINU ZA CCM ZA KUIBIA WANANCHI KURA ZAO appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Makamba: Sababu za CCM kushinda hizi hapa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gr8YFIycrr0/VTUTw3sLRaI/AAAAAAAAsPU/waQDNPTNkpA/s72-c/ccm.jpg)
Hapa kuna Sifa 13 Watakazozitumia CCM Kumteua Mgomea Urais Kupitia chama Hicho
![](http://4.bp.blogspot.com/-gr8YFIycrr0/VTUTw3sLRaI/AAAAAAAAsPU/waQDNPTNkpA/s640/ccm.jpg)
Mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye atabeba jukumu la kupeperusha bendera ya chama hicho ili kukipa ushindi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, sasa tunahesabu siku.Baadhi ya makada wa chama hicho wakiwemo wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), wanasema mchakato huo huenda ukaanza Mei mwaka huu.
Akizungumza na Mwandishi wetu, Mjumbe wa NEC kutoka mkoani Arusha ambaye hakutaka jina lake liandikwe, alisema katika uchaguzi wa mwaka...
9 years ago
Mtanzania24 Aug
Chadema yabaini mbinu chafu
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibua tuhuma mpya dhidi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kikisema kimebaini shahada zaidi ya milioni mbili za kupigia kura zinazotarajiwa kuingizwa kinyemela katika Daftari la Wapiga Kura na kugawiwa kwa wana CCM ambao hawakujiandikisha.
Chama hicho kimedai kwamba, mbali na shahada hizo pia wakimbizi zaidi ya 70,000 mkoani Kigoma wameandikishwa katika daftari hilo kwa ajili ya kupiga kura.
Tuhuma hizo...
11 years ago
Tanzania Daima09 May
IPTL: Kuna kampeni chafu kuzuia punguzo la umeme
HOFU ya kupoteza soko kwa makampuni ya kigeni yanayozalisha umeme dhidi ya makampuni ya Kitanzania imetajwa kuwa chanzo cha vita dhidi ya Kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xK8e3SFFdl8/Vczq2c0iS8I/AAAAAAAB-34/h5sMyJwMVyk/s72-c/DOM%2B1.jpg)
PICHA 5 ZA USHAHIDI KUWA MAGUFULI HAKAMATIKI HIZI HAPA ONA LIVE DODOMA HAPA!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-xK8e3SFFdl8/Vczq2c0iS8I/AAAAAAAB-34/h5sMyJwMVyk/s640/DOM%2B1.jpg)
Dr Magufuli ndiyo habari ya mjini hii ni ndani ya Dodoma na kutoa ujumbe wakusema kuwa Wafanyakazi wazembe,Nitalala nao mbeleeeeee
![](http://1.bp.blogspot.com/-THK7CZMK904/Vczq4CjVlmI/AAAAAAAB-4A/Au7rwwrLlkw/s640/DOM%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9x92ROIgEHY/Vczq5so2BhI/AAAAAAAB-4I/9l4f3J3nxhE/s640/DOM%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cTG54kJP8Wo/Vczq7gmA6oI/AAAAAAAB-4Q/GmXDYaVtWZo/s640/DOM%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-loYEBl-Zuyk/Vczq-O9nlwI/AAAAAAAB-4Y/hHGdkE6xguM/s640/DOM%2B5.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXWud0pTjDMr4EONkCoS3kBUkAbIPxdquzBPVWk4bgpcemMv6yHEbYwUP3LUCJsY*yT*qBoq-5I-78TXK71goh-e/MAHABA.jpg)
MMEGOMBANA? FUATA MBINU HIZI KURUDISHA MAPENZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT0G*4mlmktMqQ*uLR9OP3M5L1ahUu5vtCFmW*AUPb19xfJFljuFUID1*a9DWJYVG8z7cdItDxuIFajxIT1HTSMz/Love.jpg)
UKIZIJUA MBINU HIZI, MAUMIVU YA MAPENZI UTAYASIKIA TU -2