Hapa kuna Sifa 13 Watakazozitumia CCM Kumteua Mgomea Urais Kupitia chama Hicho

Mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye atabeba jukumu la kupeperusha bendera ya chama hicho ili kukipa ushindi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, sasa tunahesabu siku.Baadhi ya makada wa chama hicho wakiwemo wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), wanasema mchakato huo huenda ukaanza Mei mwaka huu.
Akizungumza na Mwandishi wetu, Mjumbe wa NEC kutoka mkoani Arusha ambaye hakutaka jina lake liandikwe, alisema katika uchaguzi wa mwaka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi
VIJANA WA NCCR-MAGEUZI WAMCHUKULIA FOMU MGOMBEA URAIS WA CHAMA HICHO,DK.MIHANGO


10 years ago
Vijimambo
MGOMBEA MWENZA WA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) SAMIA SULUHU HASSAN AWANADI WAGOMBEA UBUNGE WA MAJIMBO YA MKOA WA KILIMANJARO





10 years ago
Michuzi
LOWASSA AWASILI MAKAO MAKUU YA CHADEMA KUCHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS NDANI YA CHAMA HICHO HIVI PUNDE JIJINI DAR


10 years ago
Michuzi11 Jul
10 years ago
Michuzi
CCM TABORA YAWATUNUKU VYETI MAKADA WAKE WALIOKISAIDIA CHAMA HICHO KUPATA USHINDI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
MichuziCHAMA CHA ACT WAZALENDO WAFUNGUA KAMPENI ZA CHAMA HICHO IRINGA

Na MatukiodaimaBLogCHAMA cha ACT wazalendo kimezindua kampeni zake za ubunge katika jimbo la Iringa huku mgombea wake ubunge katika jimbo hilo Bi Chiku Abwao akivilalamikia baadhi ya vyombo vya habari nchini kwa kukalia habari zake zinazohusiana na uchafu wa mgombea Urais wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) anayewakilisha vyama vinavyounda umoja wa...
10 years ago
MichuziLUTALOSA YEMBA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA ADC
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Kasambala baharia anayetaka urais kupitia chama cha NRA