MMEGOMBANA? FUATA MBINU HIZI KURUDISHA MAPENZI
![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXWud0pTjDMr4EONkCoS3kBUkAbIPxdquzBPVWk4bgpcemMv6yHEbYwUP3LUCJsY*yT*qBoq-5I-78TXK71goh-e/MAHABA.jpg)
Kugombana ni jambo ambalo halikwepeki katika uhusiano wa kimapenzi. Upo ugomvi ambao ni wa kawaida na huisha kirahisi lakini upo ugomvi ambao huwa mkubwa na kama ukitokea na ukashindwa kujua nini cha kufanya kuweka mambo sawa, husababisha ufa kwenye penzi lenu. Leo tutazungumzia mambo muhimu ya kufanya inapotokea wewe na mpenzi wako mmeingia katika ugomvi mkubwa, mmetoleana maneno machafu au hata kupigana. 1. TAFAKARI CHANZO CHA...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv-CmlTXLJH4-CtfM4xdWHodZY17c1YDp7c13l1UOX**zbijAnZ4kxjRDO2To7GSZBzoorqrYTleO8L94ZiQhMfg/Love.jpg)
UKIZIJUA MBINU HIZI, MAUMIVU YA MAPENZI UTAYASIKIA TU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT0G*4mlmktMqQ*uLR9OP3M5L1ahUu5vtCFmW*AUPb19xfJFljuFUID1*a9DWJYVG8z7cdItDxuIFajxIT1HTSMz/Love.jpg)
UKIZIJUA MBINU HIZI, MAUMIVU YA MAPENZI UTAYASIKIA TU -2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8bNFDsuLqZV9Ly780CL0EDfteVOsSkZXnyLK8svwyzoW4FOenXmBTCs0UZ-t2fX8PuemzAf8aWxDoECiHmNoVEO/1.jpg?width=650)
JE UMECHOSHWA NA UNAHITAJI TALAKA ? FUATA HATUA HIZI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jKNlzv7p3YI/VOQ9mYJBI4I/AAAAAAAHEPg/qFMaNCWe8LQ/s72-c/1.jpg)
MAKALA SHERIA: JE UMECHOSHWA NA UNAHITAJI TALAKA? FUATA HATUA HIZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jKNlzv7p3YI/VOQ9mYJBI4I/AAAAAAAHEPg/qFMaNCWe8LQ/s1600/1.jpg)
Kuomba talaka si dhambi. Kama lingekuwa dhambi sheria isingeruhusu jambo hilo kwakuwa si kawaida ya sheria kuhamasisha madhambi. Ni kwasababu hii nasema kuwa atakayeona amebanwa basi aombe talaka. Si kosa hata kidogo kufanya hivyo isipokuwa ndivyo tunavyoelekezwa na sheria zetu tunazozipenda na kuziheshimu sana.
1. KUVUNJIKA KWA NDOA.
Kuvunjika kwa ndoa kwa mujibu wa sheria zetu za Tanzania kuna mazingira mengi. Baadhi ya mazingira hayo ni yale yaliyoorodheshwa kifungu...
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Mbinu hizi hutumiwa na wasafirishaji dawa za kulevya
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
Kuna mbinu chafu za ccm hizi hapa .
Viongozi wa Chadema/UKAWA kuweni Makini sana na huu mfumo wa BVR bao la mkono liko njiani kufanikiwa. Mkipuuza mtalia kilio ambacho hatapatikana mtu wa kuwafuta machozi. Vitambulisho fake ni vingi sana na hakuna mashine ya kuvitambua […]
The post Kuna mbinu chafu za ccm hizi hapa . appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWwsgKE70HCJGhq7IhybemQK8IVr8MVwnGel0zZpKyaXkJ67c2lIrIJo4ytB9IpStC9tZ0UuzVmjcthGqtn7vJtk/10.jpg?width=650)
MBINU 5 ZA KUJIFUNZA MAPENZI ILI USIACHIKE, USISALITIWE!
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Oct
HIZI NDIO MBINU ZA CCM ZA KUIBIA WANANCHI KURA ZAO
Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania wa kutoka Zanzibar na Tanganyika. Ama sina budi ila kumshukuru Allah Salawatu Wasalamu, kwakunipatia uzima, pumzi na wasia wakuweza kuandika Makala hii kwenu nyinyi WAZALENDO WA ZANZIBAR NA TANGANYIKA. Kama tulivosikia katika […]
The post HIZI NDIO MBINU ZA CCM ZA KUIBIA WANANCHI KURA ZAO appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Valentines Day: Je, unatafuta mpenzi - hizi hapa mbinu saba za kumtia 'kibindoni'