MBINU 5 ZA KUJIFUNZA MAPENZI ILI USIACHIKE, USISALITIWE!
![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWwsgKE70HCJGhq7IhybemQK8IVr8MVwnGel0zZpKyaXkJ67c2lIrIJo4ytB9IpStC9tZ0UuzVmjcthGqtn7vJtk/10.jpg?width=650)
Nilishawahi kusema huko nyuma kwamba, mapenzi yanachukuwa sehemu kubwa sana ya maisha yetu ya kila siku.Tunafanya kazi usiku na mchana lakini pesa tunazopata tunazitumia kwenye kufurahia maisha na wapenzi wetu. Ndiyo maana ukiwa hauko sawa kimapenzi, namaanisha ukiwa huna mpenzi wakati unahitaji kuwa naye au unaye lakini anakukorofisha, hata mambo mengine huwezi kuyafanya kwa ufasaha. Lakini yule ambaye maisha yake ya...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Mbinu za watoto kujisomea, kujifunza
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXWud0pTjDMr4EONkCoS3kBUkAbIPxdquzBPVWk4bgpcemMv6yHEbYwUP3LUCJsY*yT*qBoq-5I-78TXK71goh-e/MAHABA.jpg)
MMEGOMBANA? FUATA MBINU HIZI KURUDISHA MAPENZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT0G*4mlmktMqQ*uLR9OP3M5L1ahUu5vtCFmW*AUPb19xfJFljuFUID1*a9DWJYVG8z7cdItDxuIFajxIT1HTSMz/Love.jpg)
UKIZIJUA MBINU HIZI, MAUMIVU YA MAPENZI UTAYASIKIA TU -2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv-CmlTXLJH4-CtfM4xdWHodZY17c1YDp7c13l1UOX**zbijAnZ4kxjRDO2To7GSZBzoorqrYTleO8L94ZiQhMfg/Love.jpg)
UKIZIJUA MBINU HIZI, MAUMIVU YA MAPENZI UTAYASIKIA TU
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Zitambue mbinu wanazozitumia wafanyabiashara kukushawishi ili uweze kununua bidhaa zao
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Watu na mbinu zao, jamaa kavunja sheria za barabarani, baada ya askari kuja akavua nguo ili … (+Pichaz)
Katika maisha watu wana mbinu nyingi za kuhakikisha malengo au mipango yao inafanikiwa kwa kutumia mbinu tofauti tofauti. Mtu wangu wa nguvu katika pita pita zangu mitandaoni nikaingia lindaikejeblog. Tanzania tumezoea kuona madereva wa daladala wakiwashawishi traffic kwa njiani tofauti tofauti ili kukwepa adhabu au faini. Hii imetokea Lagos Nigeria dereva wa basi, baada ya kuvunja […]
The post Watu na mbinu zao, jamaa kavunja sheria za barabarani, baada ya askari kuja akavua nguo ili …...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.
Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni, Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa
“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*Wm6yuRZ6x15Qf8WBae0pCp*0urHCnsE0m5RT-Dl6JZOiJXlfjNBxXiAeTqgTdh*8ZW1CyPtg6bBeSqPlUEafRo/mahaba.jpg?width=650)
KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXL*AF1fmCWxUk86LDfmEGsL87oUWr3gJlJboJ6q2cnTzpuD9GK1w6Z-dQYlHlFSpt-pxxZmVytpiaVIzz6PqrOn/passionatecouple.jpg?width=650)
KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?-2