Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBINU 5 ZA KUJIFUNZA MAPENZI ILI USIACHIKE, USISALITIWE!

Nilishawahi kusema huko nyuma kwamba, mapenzi yanachukuwa sehemu kubwa sana ya maisha yetu ya kila siku.Tunafanya kazi usiku na mchana lakini pesa tunazopata tunazitumia kwenye kufurahia maisha na wapenzi wetu. Ndiyo maana ukiwa hauko sawa kimapenzi, namaanisha ukiwa huna mpenzi wakati unahitaji kuwa naye au unaye lakini anakukorofisha, hata mambo mengine huwezi kuyafanya kwa ufasaha.
Lakini yule ambaye maisha yake ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mbinu za watoto kujisomea, kujifunza

Wazazi wengi wanaamini kuwa elimu ndiyo mkombozi mkubwa wa maisha ya watoto wao.

 

10 years ago

GPL

MMEGOMBANA? FUATA MBINU HIZI KURUDISHA MAPENZI

Kugombana ni jambo ambalo halikwepeki katika uhusiano wa kimapenzi. Upo ugomvi ambao ni wa kawaida na huisha kirahisi lakini upo ugomvi ambao huwa mkubwa na kama ukitokea na ukashindwa kujua nini cha kufanya kuweka mambo sawa, husababisha ufa kwenye penzi lenu. Leo tutazungumzia mambo muhimu ya kufanya inapotokea wewe na mpenzi wako mmeingia katika ugomvi mkubwa, mmetoleana maneno machafu au hata kupigana. 1. TAFAKARI CHANZO CHA...

 

10 years ago

GPL

UKIZIJUA MBINU HIZI, MAUMIVU YA MAPENZI UTAYASIKIA TU -2

Ni Ijumaa nyingine tunapokutana kwenye kona hii, kujuzana na kuelimishana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita tulianza kujadili mada hii kama inavyojieleza hapo juu. Nikushukuru wewe ambaye ulinitumia ujumbe mfupi wa maneno na kutoa mawazo yako kuhusu kile tulichokijadili. Leo tunaendelea kuangalia mambo mbalimbali ambayo kama ukimfanyia mwenzi wako, utaishi naye vizuri na maumivu ya mapenzi utakuwa...

 

10 years ago

GPL

UKIZIJUA MBINU HIZI, MAUMIVU YA MAPENZI UTAYASIKIA TU

Mapenzi ni sanaa kama zilivyo sanaa nyingine. Unahitaji kuielewa vizuri sanaa hiyo ili uweze kuishi vyema na mwenzi wako. Kama ilivyo kwenye upigaji wa gitaa, ili ulipige vizuri na kuweza kutoa muziki mtamu, ni lazima ujifunze. Vivyo hivyo kwenye mapenzi, ili uishi kwa amani na furaha na mwenzi wako, ni lazima ujifunze mambo muhimu ya kuzingatia ambayo ukiyafanyia kazi, kamwe hutakuja kukutana na maumivu ya mapenzi. 1. KUWA...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitambue mbinu wanazozitumia wafanyabiashara kukushawishi ili uweze kununua bidhaa zao

Zitambue mbinu wanazozitumia wafanyabiashara kukushawishi ununue bidhaa zao. Baadhi ya habari unazosoma katika magazeti, majarida na mabango huwa zimeandikwa kusudi ili kukushawishi ukikubali au kukataa kitu fulani.

 

9 years ago

MillardAyo

Watu na mbinu zao, jamaa kavunja sheria za barabarani, baada ya askari kuja akavua nguo ili … (+Pichaz)

Katika maisha watu wana mbinu nyingi za kuhakikisha malengo au mipango yao inafanikiwa kwa kutumia mbinu tofauti tofauti. Mtu wangu wa nguvu katika pita pita zangu mitandaoni nikaingia lindaikejeblog. Tanzania tumezoea kuona madereva wa daladala wakiwashawishi traffic kwa njiani tofauti tofauti ili kukwepa adhabu au faini. Hii imetokea Lagos Nigeria dereva wa basi, baada ya kuvunja […]

The post Watu na mbinu zao, jamaa kavunja sheria za barabarani, baada ya askari kuja akavua nguo ili …...

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.

Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni,  Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa

“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...

 

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?

Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita utakumbuka nilizungumzia suala la kuwajali wapenzi wetu. Niligusia suala ya kuwapa nafasi watuchune. apo walioshituka kuona kichwa kile cha habari lakini kiukweli sikumaanisha kuchuna kule ambako wanawake micharuko hufanya hasa kwa waume za watu, nilimaanisha utayari wa kila mmoja kumsaidia mwenzake kifedha. Mkeo akitaka pesa ili aende saluni kama zipo, mpe! Akihitaji pesa akanunulie vipodozi...

 

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?-2

Uhali gani mpenzi msomaji wa safu hii. Ni matumaini yangu umzima kabisa na uko tayari kusoma muendelezo wa makala haya ambayo niliianza wiki iliyopita. Maudhui hasa ya makala haya ni kuwatahadharisha baadhi ya watu ambao wanahusudu mapenzi kuliko kitu kingine utadhani wana pepo la ngono. Sikatai, kufanya mapenzi ni kitu muhimu sana hasa kwa watu walioingia kwenye ndoa. Kwa kifupi ni haki ya kila mmoja kuridhishwa na mwenza wake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani