KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?-2
![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXL*AF1fmCWxUk86LDfmEGsL87oUWr3gJlJboJ6q2cnTzpuD9GK1w6Z-dQYlHlFSpt-pxxZmVytpiaVIzz6PqrOn/passionatecouple.jpg?width=650)
Uhali gani mpenzi msomaji wa safu hii. Ni matumaini yangu umzima kabisa na uko tayari kusoma muendelezo wa makala haya ambayo niliianza wiki iliyopita. Maudhui hasa ya makala haya ni kuwatahadharisha baadhi ya watu ambao wanahusudu mapenzi kuliko kitu kingine utadhani wana pepo la ngono. Sikatai, kufanya mapenzi ni kitu muhimu sana hasa kwa watu walioingia kwenye ndoa. Kwa kifupi ni haki ya kila mmoja kuridhishwa na mwenza wake...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*Wm6yuRZ6x15Qf8WBae0pCp*0urHCnsE0m5RT-Dl6JZOiJXlfjNBxXiAeTqgTdh*8ZW1CyPtg6bBeSqPlUEafRo/mahaba.jpg?width=650)
KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMNHrVAoCGJ8Lw8dcNTF3bVPaBaofg1E5faKYmy5fiNNjyUp2xvpv*BsOGwoKQLYeUpwhD0kBTeYwWl-tW0cU61*/love.jpg?width=650)
SIYO DHAMBI KUMPENDA MPENZI WA MWENZAKO ILA FANYA HIVI…
10 years ago
Vijimambo15 Jun
HIVI MAPENZI NI VITA?
![](http://api.ning.com/files/Lf1B3Uv2G4sfqfy7w0N*V6Vs-ENH3ISl6rSYfEgtvBEmlmtVqcsakqssaD3A0ZBXw4AfMUgLzctpSIPiMqhxOSB2FHSc5DOE/lovingcouple.jpg?width=650)
WIKI iliyopita tulijadiliana kuhusu wapenzi wenye tabia ya kuwaacha wenzi wao na baadaye kulazimisha kuwarudia kwa nguvu na vitisho baada ya kugundua ndiyo wapenzi sahihi wa maisha yao.
Leo tunazungumzia mada inayosema, je, mapenzi ni vita? Ungana nami kujua mengi zaidi kupitia XXLove.
Nianze kwa kuwashukuru wasomaji wangu kwa kunitumia ujumbe mfupi wa ‘SMS’ na kunipigia simu, asanteni.
Kwenye mada ya leo ni dhahiri kuwa majibu ya haraka ya walio wengi ni lazima yatakuwa ndiyo au hapana na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Lf1B3Uv2G4um8CBJmPrj9wKtBZGut9SE4Jui*kGRWrLaWBtiKDoyVJ99abNSxaAycDGkRS*m2Lcd4EmsBGtSTL8bJfaSC*tM/mahabacopy.jpg?width=650)
HIVI MAPENZI NI VITA?
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Cog6P*b0AmXUarEeSt4wchvBgmekA1ZlfjYWNYEV7ckASgmkBGT5cZNqz1obXuanmJ-aljN9pENAdobPZN0HA0F*/couplehappilysleeping.jpg?width=650)
HIVI MAPENZI YAMEKUFANYIA NINI?
10 years ago
Bongo Movies11 May
Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.
Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni, Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa
“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...
9 years ago
Bongo Movies20 Dec
Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi..
“Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi….A anampenda B na wako wote…lakini B moyo wake uko kwa c…ni mara chache sana kupata couple zenye usawa katika kupenda…unapompenda mtu hasa ss wanaume huwa tuna tumia kila njia kuhakikisha tunammiliki..tunajaribu kuwa waugwana…wakali na wakorofi..hata na pesa kuhakikisha tuna wamiliki wapenzi wetu..lakini mapenzi sio kumiliki bali kumfanya umpendae awe na furaha…piakina dada wanapo achana na wapenzi wao huwa wanasumbuliwa na maswali ambayo sio...
9 years ago
Bongo510 Sep
Naweza kuandika nyimbo 50 za mapenzi ndani ya saa 24 — Temba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0Tmk2MoYJhMzHtKqtVtNsZKLUSYsi1ju0e--MWgT*YB0j58-UEQRs2Py410QdcxEq7rwo6pH7RnCSFRSUrUtF9Zyl/mahaba.jpg?width=650)
KILA MMOJA AKIJIFANYA MJUAJI, KUNA MAPENZI?