Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KILA MMOJA AKIJIFANYA MJUAJI, KUNA MAPENZI?

BILA shaka mpenzi msomaji wa safu hii uko vizuri. Ni wiki nyingine tunakutana katika uwanja wetu maridhawa kuweza kujinasibu na kupeana mawilimatatu yahusuyo maisha ya mahusiano.Kama mada inavyojieleza hapo juu, nimepokea kesi nyingi sana za watu tofauti wakiomba ushauri kwamba wanashindwa kudumu katika mapenzi kutokana na mwenzake kujifanya anajua kila kitu. Anataka kusikilizwa kwa kila kitu, anajua kuhusu maisha, mapenzi, tabia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?-2

Uhali gani mpenzi msomaji wa safu hii. Ni matumaini yangu umzima kabisa na uko tayari kusoma muendelezo wa makala haya ambayo niliianza wiki iliyopita. Maudhui hasa ya makala haya ni kuwatahadharisha baadhi ya watu ambao wanahusudu mapenzi kuliko kitu kingine utadhani wana pepo la ngono. Sikatai, kufanya mapenzi ni kitu muhimu sana hasa kwa watu walioingia kwenye ndoa. Kwa kifupi ni haki ya kila mmoja kuridhishwa na mwenza wake...

 

11 years ago

GPL

KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?

Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita utakumbuka nilizungumzia suala la kuwajali wapenzi wetu. Niligusia suala ya kuwapa nafasi watuchune. apo walioshituka kuona kichwa kile cha habari lakini kiukweli sikumaanisha kuchuna kule ambako wanawake micharuko hufanya hasa kwa waume za watu, nilimaanisha utayari wa kila mmoja kumsaidia mwenzake kifedha. Mkeo akitaka pesa ili aende saluni kama zipo, mpe! Akihitaji pesa akanunulie vipodozi...

 

10 years ago

Vijimambo

KUNA UBAYA GANI VALENTINE’S DAY KUWA KILA WIKI?

Niwiki nyingine tulivu tunakutana kupitia ukurasa huu nikiamini kwamba umzima na unaendelea nyema na majukumu yako ya kila siku. Mimi mzima wa afya na namshukuru Mungu kwa kila jambo ambalo amekuwa akinitendea katika kila siku ya maisha yangu.

Naomba tu niseme kwamba, kupitia safu hii unaweza kupata ushauri wa mambo mbalimbali ya kimapenzi hivyo kama una lolote ambalo linakukosesha amani, usikae nao! Wasiliana nami kwa namba za simu hapo juu naamini suluhisho litapatikana.

Mpenzi msomaji...

 

10 years ago

GPL

KUNA UBAYA GANI VALENTINE’S DAY KUWA KILA WIKI?

Niwiki nyingine tulivu tunakutana kupitia ukurasa huu nikiamini kwamba umzima na unaendelea nyema na majukumu yako ya kila siku. Mimi mzima wa afya na namshukuru Mungu kwa kila jambo ambalo amekuwa akinitendea katika kila siku ya maisha yangu. Naomba tu niseme kwamba, kupitia safu hii unaweza kupata ushauri wa mambo mbalimbali ya kimapenzi hivyo kama una lolote ambalo linakukosesha amani, usikae nao! Wasiliana nami kwa namba za...

 

10 years ago

GPL

MADAHA: NAOTA NAFANYA MAPENZI KILA SIKU

Msanii wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha. Na Gladness Mallya/Ijumaa
IMEVUJA! Msanii wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ametoa kali ya mwaka baada ya kueleza sababu za kutodumu na wanaume kimapenzi kwamba ni kutokana na kuota anafanya mapenzi kila siku. Awali rafiki wa Madaha aliyeomba hifadhi ya jina lake aliliambia Ijumaa kuwa, mara kwa mara msanii huyo amekuwa akilalamika kuwa kila siku anaota akifanya...

 

10 years ago

Mtanzania

Kila mmoja kuishangilia Yanga leo

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KUTOKANA na taratibu za mchezo wa kiungwana ‘Fair Play’, leo kila mmoja atasimama kuwapigia makofi Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), Yanga SC watakapokabidhiwa mwali kwenye mchezo wao dhidi ya Azam utakaofanyika Uwanja wa Taifa jijini hapa kuanzia saa 11 jioni.

Yanga ilitangaza ubingwa mapema Jumatatu ya wiki iliyopita, walipoichapa Polisi Morogoro mabao 4-1 na kufikisha pointi 55 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote.

Wakati...

 

9 years ago

Dewji Blog

SHAMBULIZI LA PARIS: Polisi wasema kuna mshambuliaji mmoja wa tukio hilo alitaka kuingia uwanjani!

 

Paris-shooting (5)

Wanahabarina mashabiki wa soka wakiwa wamejikusanya ndani ya uwanja huo wa mpira ambao nje kulitokea mlipuko huo wa mabomu uliouwa watu zaidi ya 120 usiku wa Novemba 13.2015 katika jiji la Paris.

Na Rabi Hume na mashirika ya habari

Polisi waliokuwa wakikagua mashabiki wa mpira waliokuwa wakiingia uwanjani katika mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani wameuambia mtandao wa Wall Street Journal kuwa kuna mshambuliaji wa tukio hilo alitaka kuingia uwanjani.

Polisi wamesema kuwa...

 

5 years ago

CCM Blog

DUNIANI KUNA MAMBO: TOKYO NCHINI JAPAN KILA MWAKA HUFANYA SHEREHE YA KUJIANDAA NA KIFO

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
UNAHISI vipi ukiambiwa kuhusu kifo? ni wazi kuwa wengi hawafurahii kusikia habari hizo, lakini watu wengi kutoka Tokyo nchini Japan wanafurahi wakisikia habari kuhusiana na kifo, watakufa vipi? na namna ya kujiandaa kabla ya kifo.

Tokyo hufanya sherehe kila mwaka kwa ajili ya kujiandaa na kifo, "Shukatsu Festival" watu hufundishwa namna ya kujiandaa kwa kifo, "Shakatsu" kwa wajapani humaanisha kujiandaa kabla ya kufa na maadhimisho hayo hufanyika kila Desemba...

 

10 years ago

GPL

KILA MMOJA AFAHAMU HAKI NA WAJIBU WA MPIGA KURA

Jaji Damian Lubuva. NIMSHUKURU Mungu kwa kuniweka salama na kuja kuzungumza nanyi kwa njia hii ya maandishi. Mchakato wa uchuguzi wa viongozi kuanzia rais, wabunge na madiwani kwa njia ya kidemokrasia hufanywa kwa njia ya kupiga kura.Huu ndiyo wakati ambao kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na zaidi hushiriki kuchagua viongozi wa kushika madaraka ya dola na uakilishi kwa kipindi cha miaka 5 kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani