Kila mmoja kuishangilia Yanga leo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KUTOKANA na taratibu za mchezo wa kiungwana ‘Fair Play’, leo kila mmoja atasimama kuwapigia makofi Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), Yanga SC watakapokabidhiwa mwali kwenye mchezo wao dhidi ya Azam utakaofanyika Uwanja wa Taifa jijini hapa kuanzia saa 11 jioni.
Yanga ilitangaza ubingwa mapema Jumatatu ya wiki iliyopita, walipoichapa Polisi Morogoro mabao 4-1 na kufikisha pointi 55 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote.
Wakati...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Apr
Rage awaita Simba kuishangilia Yanga
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2687292/highRes/993090/-/maxw/600/-/9l7j5yz/-/rage+picha.jpg)
Kwa kawaida Simba na Yanga huwa hazishangiliani hata iweje kutokana na upinzani uliopo baina yao.JUMAMOSI Yanga itashuka Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuivaa Etoile Du Sahel ya Tunisia katika mechi ya mkondo wa kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika.Kwa kawaida Simba na Yanga huwa hazishangiliani hata iweje kutokana na upinzani uliopo baina yao.Hata hivyo Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage, ameamua kuweka kando itikadi...
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Simba kuishangilia Yanga kwa masharti
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Kila la kheri Yanga leo
JANA tuliandika tahariri kuwatakia kila la kheri wawakilishi pekee katika michuano ya soka ya kimataifa, mabingwa wa soka nchini, Yanga, ambao leo wana kibarua kigumu cha kuwafunga mabingwa watetezi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-r5zu7FzQ0A8/VG5A9a2Zk7I/AAAAAAAAc8A/kikHMlNSxIQ/s72-c/tt.jpg)
MAJAMBAZI YAUA BINTI MMOJA NA KUJERUHI MMOJA KATIKA TUKIO LA UPORAJI LILILOTOKEA LEO ASUBUHI YOMBO VITUKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-r5zu7FzQ0A8/VG5A9a2Zk7I/AAAAAAAAc8A/kikHMlNSxIQ/s1600/tt.jpg)
Majambazi wawili waliokuwa na pikipiki wamuua Binti mmoja aliyefahamika kwa jina...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0Tmk2MoYJhMzHtKqtVtNsZKLUSYsi1ju0e--MWgT*YB0j58-UEQRs2Py410QdcxEq7rwo6pH7RnCSFRSUrUtF9Zyl/mahaba.jpg?width=650)
KILA MMOJA AKIJIFANYA MJUAJI, KUNA MAPENZI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1lc*GpfrSE*PMLAS47V50MiOEPSDqMFBLsCLH*SEHTFRUdsluW*Cpot-Oc-jA7KEmPJqJThy7czioQWpiBS-U8Bh/Mwenyekiti.jpg?width=650)
KILA MMOJA AFAHAMU HAKI NA WAJIBU WA MPIGA KURA
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Stars, inawezekana kila mmoja akitimiza wajibu wake
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Serikali yetu imejaa kambare, kila mmoja ana masharubu
10 years ago
CloudsFM12 Feb
Washindi Ivory Coast wazawadiwa nyumba na mamilioni kila mmoja.
Kocha Herve Renard alialikwa ikulu ya rais Jumanne huku Mfaransa huyo akipokezwa bonasi ya takriban €114...