Simba kuishangilia Yanga kwa masharti
Klabu ya Simba imewapa masharti mahasimu wao wa jadi, Yanga kama inahitaji mashabiki wao waishangilie kwenye mchezo wa keshokutwa wa Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF), dhidi ya BDF IX ya Botswana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Apr
Rage awaita Simba kuishangilia Yanga
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2687292/highRes/993090/-/maxw/600/-/9l7j5yz/-/rage+picha.jpg)
Kwa kawaida Simba na Yanga huwa hazishangiliani hata iweje kutokana na upinzani uliopo baina yao.JUMAMOSI Yanga itashuka Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuivaa Etoile Du Sahel ya Tunisia katika mechi ya mkondo wa kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika.Kwa kawaida Simba na Yanga huwa hazishangiliani hata iweje kutokana na upinzani uliopo baina yao.Hata hivyo Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage, ameamua kuweka kando itikadi...
10 years ago
Mtanzania06 May
Kila mmoja kuishangilia Yanga leo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KUTOKANA na taratibu za mchezo wa kiungwana ‘Fair Play’, leo kila mmoja atasimama kuwapigia makofi Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), Yanga SC watakapokabidhiwa mwali kwenye mchezo wao dhidi ya Azam utakaofanyika Uwanja wa Taifa jijini hapa kuanzia saa 11 jioni.
Yanga ilitangaza ubingwa mapema Jumatatu ya wiki iliyopita, walipoichapa Polisi Morogoro mabao 4-1 na kufikisha pointi 55 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote.
Wakati...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfjHN30vS2FwxnBVsIOAUFGCVQ92UC4kQXry1AfeUj2UkZjf8rvqw*UzpGKjBnW4CJkniQPmMnZrG-PrcAEBJHzA/22.gif?width=650)
Yanga watoa masharti mawili kwa Waghana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pSOuo72vrhZh2gNAIcVBDOL5UeMdPQuKLsiyVEJFKEIk0EOm26IEgHt9-Y6rKxT6vn-X9ij1e7ZwTriWkqKQSY/yanga.jpg?width=650)
Yanga wauziwa beki kwa masharti matatu
10 years ago
CloudsFM11 Feb
Yanga kulipa deni la Ngasa kwa masharti
HATIMAYE Klabu ya Yanga imekubali kulipa deni analodaiwa mchezaji wao, Mrisho Ngassa na klabu ya Simba, kwa masharti iwapo tu atakubaliana nao katika baadhi ya mambo likiwamo la mkataba au jambo lingine lolote.
Aidha, Ngassa ameahidi kucheza kwa kiwango katika michuano ya ligi na ya kimataifa na kuwa mchezaji bora iwapo tu uongozi wa klabu hiyo utamsaidia kulipa deni hilo kama ulivyoahidi.
Katika msimu wa 2013/2014, Ngassa alijiunga na Yanga akitokea Simba alikokuwa akicheza kwa mkopo akiwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s72-c/Simba-vs-Yanga-pic.png)
YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s640/Simba-vs-Yanga-pic.png)
10 years ago
Vijimambo20 May
Kopunovic alegeza masharti Simba.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Goran-20MAY2015.jpg)
Sizitaki mbichi hizi zimeanza kujitokeza kwa Mserbia Goran Kopunovic ambaye alishindwana na Simba baada ya kuitaka klabu hiyo kumpa Sh. milioni 100 za ada ya usajili ili kusaini mkataba mpya huku pia akiitaka kumuongeza mshahara na kuwa Sh. milioni 28 kwa mwezi.
Hata hivyo, wakati Simba ikiwa katika mchakato wa kusaka mbadala wake, imeelezwa kuwa kocha huyo ameanza kuwapigia simu viongozi wa klabu hiyo na kuwaambia ameshusha kiwango cha fedha anachotaka kulipwa ili...
11 years ago
GPLWanachama Simba wampa masharti Rage
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Mgosi aipa masharti mazito Simba