Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgosi aipa masharti mazito Simba

Mshambuliaji mahiri wa Mtibwa Sugar, Musa Hassan ‘Mgosi’ ameitaka klabu yake ya zamani ya Simba kuvunja benki kama kweli ina nia ya dhati ya kupata saini yake kwenye kipindi hiki cha usajili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Aveva ampa masharti mazito MO

DewjiNA MSHAMU NGOJWIKE

UONGOZI wa Simba upo tayari kumpa timu bilionea, Mohamed Dewji (MO), endapo wanachama watakubali kuuza hisa za klabu katika mkutano mkuu utakaofanyika Januari mwakani na kama atakubali kutoa thamani halisi ya klabu hiyo.

Hivi karibuni bilionea huyo alinukuliwa na vyombo vya habari akieleza nia yake ya kutaka kuimiliki klabu hiyo kwa kununua hisa za wanachama kwa asilimia 50 kwa kutoa ofa ya shilingi bilioni 20 za Kitanzania.

Akizungumza jijini jana, Rais wa Simba, Evans...

 

10 years ago

Mtanzania

Simba yamrejesha Mgosi

mgosiNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), safari hii imemrejesha mshambuliaji wake wa zamani, Musa Hassan Mgosi, huku ikimnasa pia kipa wa JKU ya Zanzibar, Mohammed Abrahman Mohammed.

Mgosi, aliyeichezea Mtibwa Sugar msimu uliopita, alitemwa kwenye kikosi hicho msimu wa 2010/11 na kutimkia DC Motema Pembe ya DRC, kabla ya kurejea tena nchini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: Mavugo, Okwi, Mgosi utaipenda Simba tu

>Mshambuliaji mpya wa Simba, Mrundi Laudit Mavugo  amesema kuwa hakuna cha kumnyima kung’ara ikiwa atacheza pamoja na Emmanuel Okwi na Mussa Hassan ‘Mgosi’.

 

10 years ago

Mwananchi

Makoye aipa Simba siri ya mafanikio

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Ephraim Makoye “Dogo” amewataka viongozi wa Simba kumaliza migogoro yao ya ndani kama kweli wanataka kufanya vyema katika mechi za Ligi Kuu ikiwepo ile ya Yanga Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Mjerumani aipa tano Simba, aishangaa Yanga

Kocha Mjerumani aliyebwaga manyanga ya kuinoa Toto Africans, Martin Grelics amesifu aina ya soka ambalo timu ya Simba imekuwa ikicheza, huku akishangazwa na kiwango cha Yanga.

 

10 years ago

Vijimambo

Kopunovic alegeza masharti Simba.

Mserbia Goran Kopunovic.
Sizitaki mbichi hizi zimeanza kujitokeza kwa Mserbia Goran Kopunovic ambaye alishindwana na Simba baada ya kuitaka klabu hiyo kumpa Sh. milioni 100 za ada ya usajili ili kusaini mkataba mpya huku pia akiitaka kumuongeza mshahara na kuwa Sh. milioni 28 kwa mwezi.

Hata hivyo, wakati Simba ikiwa katika mchakato wa kusaka mbadala wake, imeelezwa kuwa kocha huyo ameanza kuwapigia simu viongozi wa klabu hiyo na kuwaambia ameshusha kiwango cha fedha anachotaka kulipwa ili...

 

11 years ago

GPL

Wanachama Simba wampa masharti Rage

Mwenyekiti wA Simba, Ismail Aden Rage. Said Ally na Omary Mdose
KATIKA kuelekea kwenye mkutano mkuu wa Simba unaotarajiwa kufanyika keshokutwa Jumapili kwenye Bwalo la Polisi, Oysterbay, baadhi ya wanachama wa klabu hiyo wamempa masharti mwenyekiti wao, Ismail Aden Rage, kuhusu agenda ya mkutano huo. Simba inatarajiwa kufanya mkutano wao ambao una ajenda moja ya kubadilisha katiba yao ambayo imepangwa na uongozi mkuu ukiongozwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba kuishangilia Yanga kwa masharti

Klabu ya Simba imewapa masharti mahasimu wao wa jadi, Yanga kama inahitaji mashabiki wao waishangilie kwenye mchezo wa keshokutwa wa Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF), dhidi ya BDF IX ya Botswana.

 

5 years ago

Michuzi

MKWIRU AIPA SOMO LA UFUGAJI NYUKI NA MIZINGA SEKONDARI YA MWAMBISI-MWALIMU SIMBA

NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
Shule ya sekondari Mwambisi ,Kongowe Kibaha mkoani Pwani ,imebuni mradi wa ufugaji nyuki na mizinga kwa ajili ya asali ili kujipatia kipato pamoja na kufundisha wanafunzi somo la stadi za maisha kupitia mradi huo.

Aidha shule hiyo, inatunza mazingira kwa kupanda miti maeneo ya shule na kuotosha miche ya miti mbalimbali ambapo kwa mwaka huu wameotesha miche 10,000.

Akizungumzia ubunifu huo ,mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Mwambisi Joseph Simba alisema ,kwasasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani