Mgosi aipa masharti mazito Simba
Mshambuliaji mahiri wa Mtibwa Sugar, Musa Hassan ‘Mgosi’ ameitaka klabu yake ya zamani ya Simba kuvunja benki kama kweli ina nia ya dhati ya kupata saini yake kwenye kipindi hiki cha usajili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Aveva ampa masharti mazito MO
NA MSHAMU NGOJWIKE
UONGOZI wa Simba upo tayari kumpa timu bilionea, Mohamed Dewji (MO), endapo wanachama watakubali kuuza hisa za klabu katika mkutano mkuu utakaofanyika Januari mwakani na kama atakubali kutoa thamani halisi ya klabu hiyo.
Hivi karibuni bilionea huyo alinukuliwa na vyombo vya habari akieleza nia yake ya kutaka kuimiliki klabu hiyo kwa kununua hisa za wanachama kwa asilimia 50 kwa kutoa ofa ya shilingi bilioni 20 za Kitanzania.
Akizungumza jijini jana, Rais wa Simba, Evans...
10 years ago
Mtanzania30 May
Simba yamrejesha Mgosi
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), safari hii imemrejesha mshambuliaji wake wa zamani, Musa Hassan Mgosi, huku ikimnasa pia kipa wa JKU ya Zanzibar, Mohammed Abrahman Mohammed.
Mgosi, aliyeichezea Mtibwa Sugar msimu uliopita, alitemwa kwenye kikosi hicho msimu wa 2010/11 na kutimkia DC Motema Pembe ya DRC, kabla ya kurejea tena nchini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa...
10 years ago
Mwananchi08 Jun
USAJILI: Mavugo, Okwi, Mgosi utaipenda Simba tu
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Makoye aipa Simba siri ya mafanikio
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Mjerumani aipa tano Simba, aishangaa Yanga
10 years ago
Vijimambo20 May
Kopunovic alegeza masharti Simba.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Goran-20MAY2015.jpg)
Sizitaki mbichi hizi zimeanza kujitokeza kwa Mserbia Goran Kopunovic ambaye alishindwana na Simba baada ya kuitaka klabu hiyo kumpa Sh. milioni 100 za ada ya usajili ili kusaini mkataba mpya huku pia akiitaka kumuongeza mshahara na kuwa Sh. milioni 28 kwa mwezi.
Hata hivyo, wakati Simba ikiwa katika mchakato wa kusaka mbadala wake, imeelezwa kuwa kocha huyo ameanza kuwapigia simu viongozi wa klabu hiyo na kuwaambia ameshusha kiwango cha fedha anachotaka kulipwa ili...
11 years ago
GPLWanachama Simba wampa masharti Rage
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Simba kuishangilia Yanga kwa masharti
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VWxnGNC2ztE/XmIy33k_hiI/AAAAAAALhd4/nWHg9nhUBakQkoDT3sskKEkg_EjrBQq0gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MKWIRU AIPA SOMO LA UFUGAJI NYUKI NA MIZINGA SEKONDARI YA MWAMBISI-MWALIMU SIMBA
Shule ya sekondari Mwambisi ,Kongowe Kibaha mkoani Pwani ,imebuni mradi wa ufugaji nyuki na mizinga kwa ajili ya asali ili kujipatia kipato pamoja na kufundisha wanafunzi somo la stadi za maisha kupitia mradi huo.
Aidha shule hiyo, inatunza mazingira kwa kupanda miti maeneo ya shule na kuotosha miche ya miti mbalimbali ambapo kwa mwaka huu wameotesha miche 10,000.
Akizungumzia ubunifu huo ,mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Mwambisi Joseph Simba alisema ,kwasasa...