Aveva ampa masharti mazito MO
NA MSHAMU NGOJWIKE
UONGOZI wa Simba upo tayari kumpa timu bilionea, Mohamed Dewji (MO), endapo wanachama watakubali kuuza hisa za klabu katika mkutano mkuu utakaofanyika Januari mwakani na kama atakubali kutoa thamani halisi ya klabu hiyo.
Hivi karibuni bilionea huyo alinukuliwa na vyombo vya habari akieleza nia yake ya kutaka kuimiliki klabu hiyo kwa kununua hisa za wanachama kwa asilimia 50 kwa kutoa ofa ya shilingi bilioni 20 za Kitanzania.
Akizungumza jijini jana, Rais wa Simba, Evans...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAFUFU AMPA MASHARTI MAGUMU MKEWE!
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Mgosi aipa masharti mazito Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*UrBVuJvpA5VkfO0q5TAwWvsOTIXJw6*Qj0jvKLAMDQ6u0XVFnyCxuRgNxvvKntCsxKOgTMQDmy1PZOaXBOjlhM/Prili.jpg)
Phiri ampa Kisiga majukumu mazito Simba
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi
KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.
“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGav9leVUvMnPAuZwESFx0SGR1*bUQqXjyBragZpbcthB3JkMPfdjkwOZpjDchUiIR4csZl1sxAb3ABPCE4MOiKk/11.gif?width=650)
Aveva kufuru
11 years ago
TheCitizen29 Jun
It’s Aveva vs Tupa for presidency
11 years ago
TheCitizen26 Jun
Aveva: My vision for Simba SC
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Ni Tupa au Aveva leo