MAFUFU AMPA MASHARTI MAGUMU MKEWE!
Msanii wa filamu za Bongo, Jimmy Mafufu akiwa na mkewe. Na Brighton Masalu SIKU chache baada ya kuripotiwa kutengana na mkewe, msanii wa filamu za Bongo, Jimmy Mafufu ameibuka na ‘kuachia silabi’ zinazoashiria kumpa masharti magumu mwandani wake huyo. Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu juzi, Mafufu alisema kwa kuwa mkewe aliamua kuita waandishi wa habari wakati wa kuondoka hata wakati wa kurejea...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h04tScqf3LaHDD*cMzrj9MkDutGiuu7yea9K-7F9av5-O4KHQDIl-hj0dIpDJ5ULl7KHnv9L1Awp2OemwCX1Rnck3eyCq-ff/Mafufu.jpg)
MAFUFU ASHUSHIWA KIPIGO NA MKEWE!
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
CHADEMA yampa JK masharti magumu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku tatu Rais Jakaya Kikwete afute kauli ya kutaka CCM wajibu mapigo ya wapinzani, kikidai kuwa inachochea vita ya kiraia ndani ya nchi....
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Ugiriki yakubaliana na masharti magumu
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Aveva ampa masharti mazito MO
NA MSHAMU NGOJWIKE
UONGOZI wa Simba upo tayari kumpa timu bilionea, Mohamed Dewji (MO), endapo wanachama watakubali kuuza hisa za klabu katika mkutano mkuu utakaofanyika Januari mwakani na kama atakubali kutoa thamani halisi ya klabu hiyo.
Hivi karibuni bilionea huyo alinukuliwa na vyombo vya habari akieleza nia yake ya kutaka kuimiliki klabu hiyo kwa kununua hisa za wanachama kwa asilimia 50 kwa kutoa ofa ya shilingi bilioni 20 za Kitanzania.
Akizungumza jijini jana, Rais wa Simba, Evans...
11 years ago
Habarileo31 Mar
Wassira- Masharti kwenda peponi magumu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira alisababisha kicheko kwa waombolezaji katika maziko ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Gabriel Tuppa baada ya kulalamikia masharti yanayoambatana na safari ya kwenda peponi.
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-FIWfpbH-qjc/Vln5cAOxMSI/AAAAAAAAXUw/29VIxVrzr9I/s72-c/Lowassa-akiaga-620x308.jpg)
Lowassa awapa masharti magumu polisi
11 years ago
Mwananchi08 May
Upinzani watoa masharti magumu kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015
9 years ago
Bongo529 Sep
Nahreel aelezea kwanini ameweka masharti magumu ya kujiunga na chuo chake cha muziki
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi
KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.
“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...