Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugiriki yakubaliana na masharti magumu

Bunge la Ugiriki limepitisha masharti magumu yaliyowekwa na Jumuiya ya nchi za ukanda wa Euro.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yakubaliana na wakopaji wake

Ugiriki inasema kuwa imekubaliana na wakopaji wake mpango wa kuikwamua kutoka kwa deni lake kulingana na waziri wa fedha nchini humo Euclid Tsakalotos.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yakubali masharti ya wadeni

Wabunge wa Ugriki wamepiga kura kuunga mkono masharti mapya yaliyowekwa na wadeni wa taifa hilo lililo katika hatari ya kufilisika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yampa JK masharti magumu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku tatu Rais Jakaya Kikwete afute kauli ya kutaka CCM wajibu mapigo ya wapinzani, kikidai kuwa inachochea vita ya kiraia ndani ya nchi....

 

10 years ago

BBCSwahili

Video:Masharti ya mkopo uliopewa Ugiriki

Ugiriki imepewa masharti makali ambayo sharti iyatimize kabla haijapewa awamu ya tatu ya mkopo wa Euro bilioni 50

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki imeahidi kutimiza masharti mapya

Ugiriki iko mbioni kuandika mapendekezo mapya yatakayo kwamua mazungumzo ya kutafutia ufumbuzi wa matatizo yake ya kiuchumi.

 

11 years ago

Habarileo

Wassira- Masharti kwenda peponi magumu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira alisababisha kicheko kwa waombolezaji katika maziko ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Gabriel Tuppa baada ya kulalamikia masharti yanayoambatana na safari ya kwenda peponi.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Lowassa awapa masharti magumu polisi

ALIYEKUWA mgombea Urais wa Chadema, Edward lowassa, amelitaka jeshi la Polisi nchini kuwachukulia hatua wale wote wanadaiwa kumuua, aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo na kwamba kama hawatafanya hivyo, watachukua hatua wao wenyewe.Anaandika Moses Mseti, Mwanza … (endelea). Kauli hiyo ameitoa ikiwa ni siku mbili sasa tangu Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, kutoa hukumu

 

10 years ago

GPL

MAFUFU AMPA MASHARTI MAGUMU MKEWE!

Msanii wa filamu za Bongo, Jimmy Mafufu akiwa na mkewe.
Na Brighton Masalu
SIKU chache baada ya kuripotiwa kutengana na mkewe, msanii wa filamu za Bongo, Jimmy Mafufu ameibuka na ‘kuachia silabi’ zinazoashiria kumpa masharti magumu mwandani wake huyo. Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu juzi, Mafufu alisema kwa kuwa mkewe aliamua kuita waandishi wa habari wakati wa kuondoka hata wakati wa kurejea...

 

11 years ago

Mwananchi

Upinzani watoa masharti magumu kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015

Serikali imetakiwa kuandaa taratibu za mpito za kushughulikia Uchaguzi Mkuu ujao ili kunusuru nchi kuingia katika mtanziko unaoweza kuwa chanzo cha machafuko ya kisiasa, endapo utafanyika bila kupatikana kwa Katiba Mpya la sivyo Kambi Rasmi ya haitashiriki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani