Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video:Masharti ya mkopo uliopewa Ugiriki

Ugiriki imepewa masharti makali ambayo sharti iyatimize kabla haijapewa awamu ya tatu ya mkopo wa Euro bilioni 50

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Video:Ulaya kuipa Ugiriki mkopo zaidi

Viongozi wa mataifa ya ukanda unaotumia sarafu ya Euro wamekubaliana kwa pamoja kuipa Ugiriki mkopo wa tatu kunusuru uchumi wake

 

10 years ago

BBCSwahili

EU kuipa Ugiriki mkopo wa dola bilioni 7

Tume ya bara Ulaya imependekeza mkopo wa muda mfupi wa dola bilioni saba nukta saba kwa Ugiriki, huku majadiliano kuhusu madeni ya nchi hiyo yakiendelea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulaya yakubali kuipa Ugiriki mkopo

Benki kuu ya ulaya ECB imeafikiana kuendelea kuzifadhili benki za Ugiriki kuambatana na mapatano yaliyopendekezwa ijumaa iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yakubali masharti ya wadeni

Wabunge wa Ugriki wamepiga kura kuunga mkono masharti mapya yaliyowekwa na wadeni wa taifa hilo lililo katika hatari ya kufilisika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yakubaliana na masharti magumu

Bunge la Ugiriki limepitisha masharti magumu yaliyowekwa na Jumuiya ya nchi za ukanda wa Euro.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulaya yakubali kuipa Ugiriki mkopo zaidi

Viongozi wa mataifa ya ukanda unaotumia sarafu ya Euro wamekubaliana kwa pamoja kuipa Ugiriki mkopo wa tatu kunusuru uchumi wake

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki imeahidi kutimiza masharti mapya

Ugiriki iko mbioni kuandika mapendekezo mapya yatakayo kwamua mazungumzo ya kutafutia ufumbuzi wa matatizo yake ya kiuchumi.

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB yaipatia Tanzania Mkopo wa Masharti Nafuu kiasi cha shilingi trilioni 1.14

Serikali ya Tanzania na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), zimesaini mikataba mitano ya mkopo wa masharti nafuu ya Dola za Marekani milioni 495.59 ambayo ni sawa na TZS trilioni 1.14 zitakazowezesha kutekeleza ujenzi wa miradi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Msalato Jijini Dodoma, Dola za Marekani milioni 271.63, ujenzi wa barabara ya Bagamoyo-Holoholo-Lungalunga–Malindi km.120.8 kwa gharama ya Dola za Marekani milioni 168.76 na Dola 55.2 kwa ajili ya Programu ya utawala bora na kuendeleza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?

Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani