Video:Masharti ya mkopo uliopewa Ugiriki
Ugiriki imepewa masharti makali ambayo sharti iyatimize kabla haijapewa awamu ya tatu ya mkopo wa Euro bilioni 50
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Video:Ulaya kuipa Ugiriki mkopo zaidi
Viongozi wa mataifa ya ukanda unaotumia sarafu ya Euro wamekubaliana kwa pamoja kuipa Ugiriki mkopo wa tatu kunusuru uchumi wake
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
EU kuipa Ugiriki mkopo wa dola bilioni 7
Tume ya bara Ulaya imependekeza mkopo wa muda mfupi wa dola bilioni saba nukta saba kwa Ugiriki, huku majadiliano kuhusu madeni ya nchi hiyo yakiendelea.
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
Ulaya yakubali kuipa Ugiriki mkopo
Benki kuu ya ulaya ECB imeafikiana kuendelea kuzifadhili benki za Ugiriki kuambatana na mapatano yaliyopendekezwa ijumaa iliyopita.
10 years ago
BBCSwahili23 Jul
Ugiriki yakubali masharti ya wadeni
Wabunge wa Ugriki wamepiga kura kuunga mkono masharti mapya yaliyowekwa na wadeni wa taifa hilo lililo katika hatari ya kufilisika.
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Ugiriki yakubaliana na masharti magumu
Bunge la Ugiriki limepitisha masharti magumu yaliyowekwa na Jumuiya ya nchi za ukanda wa Euro.
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Ulaya yakubali kuipa Ugiriki mkopo zaidi
Viongozi wa mataifa ya ukanda unaotumia sarafu ya Euro wamekubaliana kwa pamoja kuipa Ugiriki mkopo wa tatu kunusuru uchumi wake
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Ugiriki imeahidi kutimiza masharti mapya
Ugiriki iko mbioni kuandika mapendekezo mapya yatakayo kwamua mazungumzo ya kutafutia ufumbuzi wa matatizo yake ya kiuchumi.
5 years ago
MichuziBenki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB yaipatia Tanzania Mkopo wa Masharti Nafuu kiasi cha shilingi trilioni 1.14
Serikali ya Tanzania na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), zimesaini mikataba mitano ya mkopo wa masharti nafuu ya Dola za Marekani milioni 495.59 ambayo ni sawa na TZS trilioni 1.14 zitakazowezesha kutekeleza ujenzi wa miradi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Msalato Jijini Dodoma, Dola za Marekani milioni 271.63, ujenzi wa barabara ya Bagamoyo-Holoholo-Lungalunga–Malindi km.120.8 kwa gharama ya Dola za Marekani milioni 168.76 na Dola 55.2 kwa ajili ya Programu ya utawala bora na kuendeleza...
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania