Ugiriki imeahidi kutimiza masharti mapya
Ugiriki iko mbioni kuandika mapendekezo mapya yatakayo kwamua mazungumzo ya kutafutia ufumbuzi wa matatizo yake ya kiuchumi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Ugiriki yakubaliana na masharti magumu
Bunge la Ugiriki limepitisha masharti magumu yaliyowekwa na Jumuiya ya nchi za ukanda wa Euro.
10 years ago
BBCSwahili23 Jul
Ugiriki yakubali masharti ya wadeni
Wabunge wa Ugriki wamepiga kura kuunga mkono masharti mapya yaliyowekwa na wadeni wa taifa hilo lililo katika hatari ya kufilisika.
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Video:Masharti ya mkopo uliopewa Ugiriki
Ugiriki imepewa masharti makali ambayo sharti iyatimize kabla haijapewa awamu ya tatu ya mkopo wa Euro bilioni 50
10 years ago
Habarileo27 Sep
IMTU wakiri makosa, waahidi kutimiza masharti
UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) umekiri makosa yaliyosababisha kusitishwa kudahili wanafunzi wapya kwa mwaka 2014/15 na kuahidi kushughulikia tatizo hilo kabla notisi ya miezi mitatu kuisha.
10 years ago
Bongo529 Oct
Chidi Benz apata dhamana baada ya kutimiza masharti
Rapper Rashid Makwiro aka Chidi Benz amepata dhamana baada ya kutimiza masharti ya kesi yake ya kukamatwa na dawa za kulevya. Jana Chidi alipandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashtaka matatu ya kukutwa na madawa ya kulevya ambapo alishindwa kutimiza masharti ya dhamana ya shilingi milioni 1 […]
5 years ago
BBCSwahili23 May
Virusi vya corona: Je masharti mapya ya mechi yako vipi uwanjani ?
Ligi ya kandanda nchini Ujerumani iliendelea siku ya Jumamaosi na kutoa ishara za jinsi ligi ya Premia na ligi nyengine kuu zitakavyochezwa wakati zitakaporejea.
5 years ago
CCM Blog23 May
JE MASHARTI MAPYA YA MECHI YAKO VIPI UWANJANI WAKATI HUU WA CORONA?
![Borussia Dortmund iliwafunga wapinzani wao Schalke 4-0 huku wachezaji wakisherehekea magoli hayo kwa kugongana visukusuku](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/4934/production/_112404781_dortmund2.jpg)
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Rais Trump awalenga mayaya na wanafunzi katika masharti mapya ya visa Marekani
Wafanyikazi wenye ujuzi mkubwa wa kiufundi, wafanyikazi wasio katika sekta ya kilimo na maafisa wakuu wa makampuni wataathirika.
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania