Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gMXEeEsn_mY/Xstn0nlJCYI/AAAAAAAC6AA/wwSUMPsxLDYo6cluDl53Juaeje3w41iOACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ZANZIBAR KULEGEZA MASHARTI YA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gMXEeEsn_mY/Xstn0nlJCYI/AAAAAAAC6AA/wwSUMPsxLDYo6cluDl53Juaeje3w41iOACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Rais Shein ametoa kauli hiyo katika salamu zake za Eid kwa wananchi wa Zanzibar baada ya kumalizika kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhan ambapo amesema hali ya sasa ni nzuri ambapo Zanzibar ina wagonjwa 34 tu.
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virus via corona: Italia kulegeza masharti ya usafiri na marufuku ya kutotoka nje
Uamuzi wa kulegeza masharti ya kutotoka nje unaashiria hatua kubwa katika juhudi za nchi hiyo kufungua tena uchumi wake baada ya zaidi ya miezi miwili ya kufungwa.
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Iran yaamua kufungua misikiti licha masharti ya kukabiliana na corona
Misikiti kote nchini Iran imepangiwa kufunguliwa Jumanne hatua inayowadia licha ya kwamba baadhi ya maeneo bado yanaathirika vibaya na janga la virusi vya corona.
10 years ago
Habarileo03 Feb
Uingereza yaombwa kulegeza masharti ya kupata viza
WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imesema inaendelea kuisihi Uingereza na nchi nyinginezo kulegeza masharti ya viza kwa Watanzania na kupunguza usumbufu.
5 years ago
CCM BlogUGANDA YATATHMINI UWEZEKANO WA KULEGEZA MASHARTI YA WATU KUTEMBEA
Wakati huo huo rais Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya za kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa wa Covid-19.
Hatua hizo ni pamoja na kila lori kuwa na mtu mmoja - dereva pekee yake...
5 years ago
CCM Blog16 May
ITALIA KAMA TANZANIA, YAANZA KULEGEZA MASHARTI YA USAFIRI NA MARUFUKU YA KUTOTOKA NJE
![italia](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/11707/production/_112313417_c911463f-6626-468d-8d05-9eb52127315f.jpg)
5 years ago
BBCSwahili24 May
Virusi vya corona: Je kuna hatari gani ya maambukizi unapoogelea baharini na katika mabwawa?
Kwa kuwa hakuna tafiti za moja kwa moja kuhusu uhai wa virusi hivyo katika maji, shirika la Afya duniani WHO limepata mapendekezo yake kupitia ushahidi mwengine wa tafiti za kisayansi kuhusu virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Rwanda na Afrika Kusini kulegeza marufuku ya kutotoka nje
Serikali ya Rwanda imepunguza ukali wa masharti iliyoweka kama hatua za kuzuia maambukizi ya virusi vya corona tangu wiki sita zilizopita.
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Virusi vya corona: Je virusi vya corona ni majaribu kiasi gani kwa Afrika?
Ongezeko la visa vya ugonjwa wa Covid-19 ni changamoto kubwa kwa sekta za Afya barani Afrika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania