Uingereza yaombwa kulegeza masharti ya kupata viza
WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imesema inaendelea kuisihi Uingereza na nchi nyinginezo kulegeza masharti ya viza kwa Watanzania na kupunguza usumbufu.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gMXEeEsn_mY/Xstn0nlJCYI/AAAAAAAC6AA/wwSUMPsxLDYo6cluDl53Juaeje3w41iOACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ZANZIBAR KULEGEZA MASHARTI YA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gMXEeEsn_mY/Xstn0nlJCYI/AAAAAAAC6AA/wwSUMPsxLDYo6cluDl53Juaeje3w41iOACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Rais Shein ametoa kauli hiyo katika salamu zake za Eid kwa wananchi wa Zanzibar baada ya kumalizika kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhan ambapo amesema hali ya sasa ni nzuri ambapo Zanzibar ina wagonjwa 34 tu.
5 years ago
CCM BlogUGANDA YATATHMINI UWEZEKANO WA KULEGEZA MASHARTI YA WATU KUTEMBEA
Wakati huo huo rais Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya za kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa wa Covid-19.
Hatua hizo ni pamoja na kila lori kuwa na mtu mmoja - dereva pekee yake...
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virus via corona: Italia kulegeza masharti ya usafiri na marufuku ya kutotoka nje
Uamuzi wa kulegeza masharti ya kutotoka nje unaashiria hatua kubwa katika juhudi za nchi hiyo kufungua tena uchumi wake baada ya zaidi ya miezi miwili ya kufungwa.
5 years ago
CCM Blog16 May
ITALIA KAMA TANZANIA, YAANZA KULEGEZA MASHARTI YA USAFIRI NA MARUFUKU YA KUTOTOKA NJE
![italia](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/11707/production/_112313417_c911463f-6626-468d-8d05-9eb52127315f.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Uingereza yabadili taratibu za kutoa viza
Ubalozi wa Uingereza nchini, umefanya mabadiliko katika mchakato wa kuomba viza baada ya kukaimisha majukumu yake kwa kampuni binafsi ya Teleperfomance Ltd.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u13X7Mz5V68/XkzCfKicdZI/AAAAAAALeM4/qGC30r9d3p0O9Hmmki0Htnigp0z2VI7BQCLcBGAsYHQ/s72-c/_110951490_f6d60514-d480-4e12-bf5e-8c35034c7e23.jpg)
Hakuna viza kwa afanyakazi wasiokuwa na ujuzi Uingereza
![](https://1.bp.blogspot.com/-u13X7Mz5V68/XkzCfKicdZI/AAAAAAALeM4/qGC30r9d3p0O9Hmmki0Htnigp0z2VI7BQCLcBGAsYHQ/s640/_110951490_f6d60514-d480-4e12-bf5e-8c35034c7e23.jpg)
Serikali inahamasiha waajiri kuacha kutegemea wafanyakazi wa kulipwa mshahara wa chini kutoka Ulaya na kuwekeza zaidi katika kudumisha wafanyakazi na kuendelezea teknolojia.
Wizara ya mambo ya ndani imesema Ulaya na raia wa nchi ambazo sio wanachama wa Muungano huo watakuwa wanachukuliwa walio katika daraja moja baada ya usafiri huru kati ya...
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Brexit: Uingereza haitatoa viza kwa wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi
Mpango wa uhamiaji baada ya Uingereza kuondoka Muungao wa Ulaya unasisitiza kwamba waajiri waache kutegemea wafanyakazi wa malipo ya chini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPEsOi*IalH2WWJL1os2eNtobabo6GGd75lzBm5yjZvuLi--4tzODflkRmHFprBin4CI8g6ynSSWr2RZTpgM927h/pregnantbelly.jpg?width=650)
KAMPUNI YA CHINA YAWEKA MASHARTI YA MTU KUPATA MIMBA
KAMPUNI moja nchini China imepanga masharti kwa wafanyakazi wake wa kike ikiwa watataka kupata mimba. Masharti hayo ambayo yamewekwa katika sheria za kampuni hiyo zimezua malalamiko mengi katika mitandao ambapo wanawake wote walio kwenye ndoa lazima wawe wamefanya kazi kwa mwaka mmoja kwenye kampuni hiyo kabla ya kutoa maombi ya kukubaliwa kushika mimba. Kwa mujibu wa masharti hayo, anayekiuka utaratibu huo na kushika mimba...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania