Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza yabadili taratibu za kutoa viza

Ubalozi wa Uingereza nchini, umefanya mabadiliko katika mchakato wa kuomba viza baada ya kukaimisha majukumu yake kwa kampuni binafsi ya Teleperfomance Ltd.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Uingereza yaombwa kulegeza masharti ya kupata viza

Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe.WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imesema inaendelea kuisihi Uingereza na nchi nyinginezo kulegeza masharti ya viza kwa Watanzania na kupunguza usumbufu.

 

5 years ago

Michuzi

Hakuna viza kwa afanyakazi wasiokuwa na ujuzi Uingereza

Wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi hawatapata viza chini ya mpango mpya wa uhamiaji wa serikali baada ya Uingereza kujiondoa katika Muungano wa Ulaya.

Serikali inahamasiha waajiri kuacha kutegemea wafanyakazi wa kulipwa mshahara wa chini kutoka Ulaya na kuwekeza zaidi katika kudumisha wafanyakazi na kuendelezea teknolojia.

Wizara ya mambo ya ndani imesema Ulaya na raia wa nchi ambazo sio wanachama wa Muungano huo watakuwa wanachukuliwa walio katika daraja moja baada ya usafiri huru kati ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Balozi lawamani kwa kutoa viza

>Wahalifu wa dawa za kulevya nchini wamedaiwa kuwatumia maofisa wa balozi zilizopo nchini kujipatia viza kirahisi kama njia mbadala ya kuendelea kufanya biashara hiyo haramu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Brexit: Uingereza haitatoa viza kwa wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi

Mpango wa uhamiaji baada ya Uingereza kuondoka Muungao wa Ulaya unasisitiza kwamba waajiri waache kutegemea wafanyakazi wa malipo ya chini.

 

10 years ago

Michuzi

Uingereza yashirikiana na TAKUKURU kutoa mafunzo kwa maafisa toka ofisi 27 za mikoa

Wachunguzi toka ofisi 27 za Mikoa za TAKUKURU wanapata ujuzi kupitia mafunzo yenye kugusa masuala ya utakatishaji wa fedha, kupata taarifa na mlolongo wa uhalifu kwa kutumia sheria za sasa za Tanzania. 
Mafunzo haya yamefadhiliwa na DFID kama sehemu ya Mpango wa Kuimarisha Mapambano dhidi ya Rushwa Tanzania (STACA) na inasimamiwa na Afisa wa Uingereza toka kitengo cha NCA, Bwana Phill Jones. Wachunguzi toka ofisi 27 za Mikoa za TAKUKURU wakimsikiliza kwa makini, Afisa wa Uingereza toka...

 

9 years ago

MillardAyo

Wachezaji 10 wanaoongoza kwa kutoa pasi za magoli Ligi Kuu Uingereza msimu huu …

Kwa sasa Mesut Ozil hadi anaondoka ndani ya klabu ya Real Madrid ya Hispania na kujiunga na Arsenal ya Uingereza ndio alikuwa mchezaji anayeongoza kumpa pasi za mwisho Cristiano Ronaldo na kufunga magoli. Achana na rekodi ya sasa ya Mesut Ozil ya kuwa mchezaji anayeongoza kutoa pasi nyingi za magoli kwa muda mchache. Nimekutana na […]

The post Wachezaji 10 wanaoongoza kwa kutoa pasi za magoli Ligi Kuu Uingereza msimu huu … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waziri mkuu wa Uingereza kutoa maelezo ya kuondoa marufuku ya kukaa nyumbani

Boris Johnson kuwafahamisha wabunge kuhusu mpango wake wa kuondoa marufuku ya kutotoka nje, ambao alitangaza Jumapili.

 

10 years ago

Vijimambo

UBALOZI WA UINGEREZA WAKABIDHI VIFAA VYA USALAMA NA KUTOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA (TCAA)

Acting High Commissioner, Ms Penny Smith hands over aviation security equipment to Director General of Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA), Mr. Charles ChachaActing High Commissioner, Ms. Penny Smith hands over a certificate to one of the participant of the training course.Acting High Commissioner, Ms Penny Smith giving her keynote address during closing of training course and handling of aviation security equipments along side are Vicky Hutchinson (RASLO) and TCAA Director General, Mr...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani