Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brexit: Uingereza haitatoa viza kwa wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi

Mpango wa uhamiaji baada ya Uingereza kuondoka Muungao wa Ulaya unasisitiza kwamba waajiri waache kutegemea wafanyakazi wa malipo ya chini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Hakuna viza kwa afanyakazi wasiokuwa na ujuzi Uingereza

Wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi hawatapata viza chini ya mpango mpya wa uhamiaji wa serikali baada ya Uingereza kujiondoa katika Muungano wa Ulaya.

Serikali inahamasiha waajiri kuacha kutegemea wafanyakazi wa kulipwa mshahara wa chini kutoka Ulaya na kuwekeza zaidi katika kudumisha wafanyakazi na kuendelezea teknolojia.

Wizara ya mambo ya ndani imesema Ulaya na raia wa nchi ambazo sio wanachama wa Muungano huo watakuwa wanachukuliwa walio katika daraja moja baada ya usafiri huru kati ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Uingereza yabadili taratibu za kutoa viza

Ubalozi wa Uingereza nchini, umefanya mabadiliko katika mchakato wa kuomba viza baada ya kukaimisha majukumu yake kwa kampuni binafsi ya Teleperfomance Ltd.

 

10 years ago

Habarileo

Uingereza yaombwa kulegeza masharti ya kupata viza

Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe.WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imesema inaendelea kuisihi Uingereza na nchi nyinginezo kulegeza masharti ya viza kwa Watanzania na kupunguza usumbufu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Umuhimu wa wafanyakazi wenye ujuzi ndani ya sekta ya utalii

20151207_104824

Meneja Mkazi wa kampuni ya JovagoTanzania, Bw. Andrea Guzzoni.

 “Maendeleo ndani ya sekta ya Utalii hayawezi kufikia kiwango nzuri iwapo hakutakuwa na wafanyakazi wenye ujuzi wa kutosha”

Kukua kwa sekta ya utalii kunategemea hudumu za ukarimu kwa kiasi kikubwa. Huduma hizi zinapaswa kufanywa na wajuzi waliobobea ndani ya sekta  ili kuweza kuwaridhisha wageni na kuleta maendeleo katika soko hili la utalii.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Meneja Mkazi wa kampuni ya...

 

10 years ago

Vijimambo

UBALOZI WA UINGEREZA WAKABIDHI VIFAA VYA USALAMA NA KUTOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA (TCAA)

Acting High Commissioner, Ms Penny Smith hands over aviation security equipment to Director General of Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA), Mr. Charles ChachaActing High Commissioner, Ms. Penny Smith hands over a certificate to one of the participant of the training course.Acting High Commissioner, Ms Penny Smith giving her keynote address during closing of training course and handling of aviation security equipments along side are Vicky Hutchinson (RASLO) and TCAA Director General, Mr...

 

11 years ago

Mwananchi

Balozi lawamani kwa kutoa viza

>Wahalifu wa dawa za kulevya nchini wamedaiwa kuwatumia maofisa wa balozi zilizopo nchini kujipatia viza kirahisi kama njia mbadala ya kuendelea kufanya biashara hiyo haramu.

 

9 years ago

Mwananchi

Tanzania, Burundi zaitwa kujiunga viza ya pamoja kwa watalii

Akiwa na viza ya pamoja ya utalii kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC), mtalii anaweza kutembelea nchi yoyote katika jumuia hii lakini siyo Tanzania wala Burundi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Marufuku yawekwa ya uhusiano wa mapenzi kati ya wafanyakazi na wanafunzi, Uingereza

Wachambuzi wamefurahishwa na marufuku ya uhusiano wa mapenzi kati ya wafanyakazi na wanafunzi katika chuo kimoja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani