Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umuhimu wa wafanyakazi wenye ujuzi ndani ya sekta ya utalii

20151207_104824

Meneja Mkazi wa kampuni ya JovagoTanzania, Bw. Andrea Guzzoni.

 “Maendeleo ndani ya sekta ya Utalii hayawezi kufikia kiwango nzuri iwapo hakutakuwa na wafanyakazi wenye ujuzi wa kutosha”

Kukua kwa sekta ya utalii kunategemea hudumu za ukarimu kwa kiasi kikubwa. Huduma hizi zinapaswa kufanywa na wajuzi waliobobea ndani ya sekta  ili kuweza kuwaridhisha wageni na kuleta maendeleo katika soko hili la utalii.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Meneja Mkazi wa kampuni ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii

__800x800_51d3b4b77dc78

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.

Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Sekta ya Maliasili na Utalii ndani ya Utawala Mpya

03-Maghenbe

Profesa Jumanne Maghembe, Waziri wa Maliasili na Utalii.

Siku chache zimepita Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipomalizia kujaza nafasi za Mawaziri na Naibu Waziri zilizobakia wakati alipotangaza baraza lake la Mawaziri la serikali ya  awamu ya tano.

Katika uteuzi wake, Kampuni ya JovagoTanzania inapendelea kumpa pongezi Profesa Jumanne Maghembe, ambaye aliteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika wa serikali ya mpya ya awamu ya tano.

Kwa upande wake, Bw. Andrea Guzzoni, Meneja Mkazi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Nini kifanyike katika Sekta ya utalii ndani ya utawala unaokuja? 2015-2025

utawala unaokuja

Tanzania katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, 2005-2015, imeweza kukuza uchumi wake kupitia sekta ya utalii, hasa kwa kuwa na maendeleo makubwa katika kuongeza ajira, ongezeko la fedha za kigeni na kuifanya nchi kutambulika kitaifa.

Sekta ya utalii Tanzania 2014, iliweza kuongeza pato la taifa kwa 14%, ambapo ni sawa na billioni za Kitanzania 8,252.7 na kukadiriwa kupanda kwa 1.3%mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2015. Kwa upande mwingine sekta hii haijafanya vizuri zaidi ukiringanisha...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA CHUO CHA UTALII NCHINI WAUNDA BARAZA LA WAFANYAKAZI.


Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasiliamaliwatu(DHRN) wa Wizara ya Maliasili na Utalii,Said Msambachi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Chuo cha Utalii Tanzania, uliofanyika katika Kampasi ya Temeke jijini Dar es Salaam leo kwa niaba ya Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Adelhe Meru.  Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani,  Rosada Musoma akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Chuo cha...

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMPUNI YA UTALII YATAKIWA KUTANGAZA UTALII NDANI NA NJE YA NCHI

IMG-20140704-WA0013Waziri wa Maliasili na utalii Mh. Lazaro Nyarandu akifungua rasmi mkutano wa 30 wa asasi ya wamiliki wa makampuni ya kusafirisha watalii TATO jijini Arusha hivi karibuni. IMG-20140704-WA0009Wadau mbalimbali wa utalii wakisikiliza mada kwa umakiniIMG-20140704-WA0004MAKAMPUNI ya kitalii hapa nchii yametakiwa kuutangaza kwa kiasi kikubwa utalii wa vivutio vyetu hapa nchini  ndani ya nchi pamoja na nje ya nchi ili kuwapa wanachi moyo wa kizalendo katika kujali vivutio walivyo navyo. Hayo yalisemwa juzi jijini Arusha na waziri...

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Maliasili nchini leo tarehe 26 Novemba 2015 katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeshirikisha wadau mbalimbali wakiwemo wa Wizara zenye muelekeo wa Maliasili, Sekta binafsi, NGOs, Waandishi wa habari na wadau wengine. Mada mbalimbali kutoka katika Sekta ndogo za Wanyamapori, Misitu, Utalii, Mambo ya Kale na Uvuvi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Brexit: Uingereza haitatoa viza kwa wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi

Mpango wa uhamiaji baada ya Uingereza kuondoka Muungao wa Ulaya unasisitiza kwamba waajiri waache kutegemea wafanyakazi wa malipo ya chini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani