Hakuna viza kwa afanyakazi wasiokuwa na ujuzi Uingereza
![](https://1.bp.blogspot.com/-u13X7Mz5V68/XkzCfKicdZI/AAAAAAALeM4/qGC30r9d3p0O9Hmmki0Htnigp0z2VI7BQCLcBGAsYHQ/s72-c/_110951490_f6d60514-d480-4e12-bf5e-8c35034c7e23.jpg)
Wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi hawatapata viza chini ya mpango mpya wa uhamiaji wa serikali baada ya Uingereza kujiondoa katika Muungano wa Ulaya.
Serikali inahamasiha waajiri kuacha kutegemea wafanyakazi wa kulipwa mshahara wa chini kutoka Ulaya na kuwekeza zaidi katika kudumisha wafanyakazi na kuendelezea teknolojia.
Wizara ya mambo ya ndani imesema Ulaya na raia wa nchi ambazo sio wanachama wa Muungano huo watakuwa wanachukuliwa walio katika daraja moja baada ya usafiri huru kati ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Brexit: Uingereza haitatoa viza kwa wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Uingereza yabadili taratibu za kutoa viza
10 years ago
Habarileo03 Feb
Uingereza yaombwa kulegeza masharti ya kupata viza
WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imesema inaendelea kuisihi Uingereza na nchi nyinginezo kulegeza masharti ya viza kwa Watanzania na kupunguza usumbufu.
9 years ago
Bongo501 Oct
Wizkid na Davido uso kwa uso kwenye tuzo za MOBO 2015 za Uingereza, hakuna msanii wa Tanzania
11 years ago
Mwananchi30 Jun
Balozi lawamani kwa kutoa viza
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Tanzania, Burundi zaitwa kujiunga viza ya pamoja kwa watalii
9 years ago
Michuzi31 Aug
10 years ago
Habarileo13 Dec
Pinda azungumzia tofauti ya ujuzi kwa wahitimu
SERIKALI imesema changamoto iliyopo sasa ni kuweka sawa mitaala ya elimu ili kuweza kuwa na wahitimu bora ambao ndio watakaokuwa waajiri wa baadaye.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IXCzsRB1-c8/XmO1BbqPDMI/AAAAAAALhuk/9HXLOnNL-_YWhaspAjvQkIGpOBRK1hGwgCLcBGAsYHQ/s72-c/N-1-3.jpg)
MAWAZIRI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA WAPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA TAIFA YA UKUZAJI UJUZI KWA VIJANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IXCzsRB1-c8/XmO1BbqPDMI/AAAAAAALhuk/9HXLOnNL-_YWhaspAjvQkIGpOBRK1hGwgCLcBGAsYHQ/s640/N-1-3.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (wa pili kulia) akizungumza na Mawaziri na Wadau wa Utatu wa SADC sekta ya Kazi na Ajira walipotembelea eneo la Kaole, Wilaya ya Bagamoyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/N-2-1.jpg)