Pinda azungumzia tofauti ya ujuzi kwa wahitimu
SERIKALI imesema changamoto iliyopo sasa ni kuweka sawa mitaala ya elimu ili kuweza kuwa na wahitimu bora ambao ndio watakaokuwa waajiri wa baadaye.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi31 Aug
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7TlxLQLocTM/VWCFZ8Ux2mI/AAAAAAAHZaM/XKttnV7F0rM/s72-c/2.jpg)
WAHITIMU WAHIMIZWA KUWA NA MTAJI UJUZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-7TlxLQLocTM/VWCFZ8Ux2mI/AAAAAAAHZaM/XKttnV7F0rM/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cv6dVg09jOA/VWCFaEFte_I/AAAAAAAHZaQ/MhREFB3Pn1c/s640/1.jpg)
11 years ago
Bongo502 Aug
Audio: G-Lover azungumzia tofauti iliyopo kati ya Diamond na Alikiba
11 years ago
Bongo Movies21 Jun
Mwanamuziki Msami akiri kuwa mpenzi wa Uwoya, azungumzia tofauti ya umri na mipango yao
Mkali wa Sound Track ambaye pia ni mkali wa kuvunja (dancer) amezungumzia uhusiano wake na muigizaji mrembo wa Bongo Movies, Irene Uwoya.
Akiongea na tovuti ya Times Fm, Msami alizunguka sana mbuyu kutaka kutoa maelezo kuhusu ukweli wa mambo kati ya wawili hao lakini kwa mara ya kwanza aliamua kuiambia tovuti ya Times Fm kauli yake kutokana na jinsi alivyoulizwa.
“Kaongea kwa upole huyu jamaa, kaapproach ili apate jibu. Ni kweli (kicheko)…nimekuridhisha lakini, nimeamua kukuridhisha.”...
10 years ago
Vijimambo06 Nov
Mke wa Pinda azungumzia urais wa mumewe 2015
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tunu-Pinda-November6-2014.jpg)
Mke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda, amesema bado hajashirikishwa na mume wake Mizengo Pinda, kuhusu nia ya kiongozi huyo wa serikali kutaka kuwania nafasi ya urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu ujao mwakani.
Akizungumza katika mahojiano maalum na NIPASHE jijini Dar es Salaam, Tunu alisema mume wake bado hajatangaza rasmi nia yake ya kugombea nafasi hiyo kubwa nchini mwakani.
Alisema Pinda hajawahi kukaa na familia yake na kuwaeleza kama ana mpango wa kujitosa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6g-XRl1SCAQ/VLqngbbFMFI/AAAAAAAG-Bc/jf8cIfPMToc/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
WAHITIMU 10 WAKABIDHIWA MILIONI 10 ZA WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6g-XRl1SCAQ/VLqngbbFMFI/AAAAAAAG-Bc/jf8cIfPMToc/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tVMTfBcCudE/VLqnlHQfQxI/AAAAAAAG-Bs/zhlWTgJwTCk/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TFTrWIMslHk/VLqnjzKfIsI/AAAAAAAG-Bk/4EL4baNAP2I/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IXCzsRB1-c8/XmO1BbqPDMI/AAAAAAALhuk/9HXLOnNL-_YWhaspAjvQkIGpOBRK1hGwgCLcBGAsYHQ/s72-c/N-1-3.jpg)
MAWAZIRI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA WAPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA TAIFA YA UKUZAJI UJUZI KWA VIJANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IXCzsRB1-c8/XmO1BbqPDMI/AAAAAAALhuk/9HXLOnNL-_YWhaspAjvQkIGpOBRK1hGwgCLcBGAsYHQ/s640/N-1-3.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (wa pili kulia) akizungumza na Mawaziri na Wadau wa Utatu wa SADC sekta ya Kazi na Ajira walipotembelea eneo la Kaole, Wilaya ya Bagamoyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/N-2-1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u13X7Mz5V68/XkzCfKicdZI/AAAAAAALeM4/qGC30r9d3p0O9Hmmki0Htnigp0z2VI7BQCLcBGAsYHQ/s72-c/_110951490_f6d60514-d480-4e12-bf5e-8c35034c7e23.jpg)
Hakuna viza kwa afanyakazi wasiokuwa na ujuzi Uingereza
![](https://1.bp.blogspot.com/-u13X7Mz5V68/XkzCfKicdZI/AAAAAAALeM4/qGC30r9d3p0O9Hmmki0Htnigp0z2VI7BQCLcBGAsYHQ/s640/_110951490_f6d60514-d480-4e12-bf5e-8c35034c7e23.jpg)
Serikali inahamasiha waajiri kuacha kutegemea wafanyakazi wa kulipwa mshahara wa chini kutoka Ulaya na kuwekeza zaidi katika kudumisha wafanyakazi na kuendelezea teknolojia.
Wizara ya mambo ya ndani imesema Ulaya na raia wa nchi ambazo sio wanachama wa Muungano huo watakuwa wanachukuliwa walio katika daraja moja baada ya usafiri huru kati ya...
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Brexit: Uingereza haitatoa viza kwa wafanyakazi wasiokuwa na ujuzi