Mke wa Pinda azungumzia urais wa mumewe 2015
Mke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda
Mke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda, amesema bado hajashirikishwa na mume wake Mizengo Pinda, kuhusu nia ya kiongozi huyo wa serikali kutaka kuwania nafasi ya urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu ujao mwakani.
Akizungumza katika mahojiano maalum na NIPASHE jijini Dar es Salaam, Tunu alisema mume wake bado hajatangaza rasmi nia yake ya kugombea nafasi hiyo kubwa nchini mwakani.
Alisema Pinda hajawahi kukaa na familia yake na kuwaeleza kama ana mpango wa kujitosa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s72-c/1.jpg)
NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s640/1.jpg)
10 years ago
Mtanzania08 Sep
Pinda afunguka urais 2015
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Fredy Azzah, Dar
BAADA ya jina lake kutajwa kuwa miongoni mwa watu watakaowania urais, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, amesema zipo taratibu ndani ya chama chake za kutangaza kuwania nafasi hiyo na kusema kinachoendelea hivi sasa ni juhudi binafsi za watu.
Pinda alisema hayo jana nyumbani kwake jijini Dar es Salaam alipokutana na wahariri wa gazeti hili, kuzungumzia masuala mbalimbali yanayolikabili taifa.
Hivi karibuni vyombo vya habari viliripoti taarifa za Pinda...
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Pinda atajwa mbio za Urais 2015
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipigiwa magoti na Matrida Kitwanga (kulia) mke wa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (kulia) baada ya kuwasili nyumbani kwa Naibu Waziri huyo, eneo la Usagara, nje kidogo ya jiji la Mwanza ambako alikwenda kumpa pole kufuatia kifo cha mwanae Vedastus Kitwanga kilichotokea hivi karibuni. Katikati ni binti wa familia hiyo,Agnes Misoji Kitwanga.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Na Mwandishi wetu
Wakati makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Massaburi ampigia chapuo Pinda urais 2015
10 years ago
KwanzaJamii24 Sep
ALAT yakana kumbeba Pinda urais wa 2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLpRW9B6130EhVGDJnYhbIwWNsaoZoiKR6AFz9JEwAGbYJDHxLPU69keZZos75BsRFG02GQUw4s4optJIhFABSkY/Mwanza.jpg?width=650)
MKE AMZABUA MUMEWE
10 years ago
Mwananchi10 Nov
UVCCM wagoma Pinda kuwa naibu kamanda, kisa urais 2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIM5ZSWhuBYSH8bRKE*pXKLhFGuf0VTHSc1IzWazIKOFfBsGcGNEqvpBaBKzRNvZdRh6r5rqwtFIGeKdjFwIQQ6cLAhONwsZ/1.jpg)
MKE AMPA KIPONDO MUMEWE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5iLqqYx8ZQqZslXyQ34vPBpWEv53mWe2hjTAW-BcO53GbPIg0aB8smu38D8DbZQn803SU0eC-Zp77Ws8lhcmT2/mke.jpg?width=650)
MKE ADAIWA KUMUUA MUMEWE!