Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKE ADAIWA KUMUUA MUMEWE!

Na Mwandishi Wetu
SHETANI anazidi kuuatamia ulimwengu! Mama mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Farida mkazi wa Mburahati jijini Dar, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kudaiwa kumuua mumewe aliyetajwa kwa jina la Amosi Joseph kwa kumpiga kwa kukombe kichwani, Ijumaa linaidondosha kama ilivyo. Akisimulia mbele ya gazeti hili mkasa mzima, mtoa habari hii aliyetajwa kuwa dada wa marehemu anayejulikana kwa jina la Khadija,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mke adaiwa kuhusika kumuua mumewe

MKAZI wa kijiji cha Vikonge wilayani Mpanda, Kitola Jeremia (45) ameuawa kwa kupasuliwa tumbo lake kwa kisu na utumbo wake wote kutolewa nje na watu wawili wanaodaiwa kukodishwa.

 

10 years ago

Vijimambo

NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!

Mwanamke mmoja katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amemfanyia ukatili mume wake kwa kumwagia maji ya moto yaliyokuwa yametengwa kwa ajili ya kupikia ugali.Kwa mujibu wa jeshi la polisi wilayani hapa, tukio hilo lilitokea juzi, saa 4:30 usiku, katika mtaa wa Nyamakokoto, mjini Bunda, baada ya kuzuka ugomvi ulitokana na mwanamke huyo (jina linahifadhiwa) kuchelewa kurudi nyumbani.Mwanaume huyo amejeruhiwa vibaya mume wake sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyopelekea kulazwa katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa kumuua mumewe

MKAZI wa Kata ya Kisemvule, Tarafa ya Vikindu, wilayani Mkuranga, Husna Kisoma (16), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kusababisha mauaji ya mumewe. Kamanda wa...

 

10 years ago

Bongo5

Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!

Rapper Mabeste ameshare kile alichoita “ukweli wa kuuguwa kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!” Mabeste akiwa na mke wake Lisa na mtoto wao Kendrick Hivi karibuni rapper huyo alielezea kwa kirefu jinsi mke wake Lisa Karl Fickenscher alivyougua kwa muda mrefu mara baada ya kujifungua mtoto wao Kendrick, kiasi cha kufikiri […]

 

10 years ago

CloudsFM

MBARONI AKIDAIWA KUMUUA MUMEWE KWA MAJI YA MOTO

Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Mfinzi wilayani Nkasi mkoani hapa anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumwagia maji ya moto mumewe na kumsababishia kifo, kisha kuutumbukiza mwili wake mtoni.
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi usiku kijijini hapo na kumtaja aliyeuawa kuwa ni Evod Teola (62).

Alisema siku ya tukio mwanamume huyo alirejea nyumbani na kuanza mzozo na mkewe aliyemtaja kwa jina la Zelena Kiozya (55) ambaye...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbaroni akidaiwa kumuua mumewe kwa maji ya moto

>Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Mfinzi wilayani Nkasi mkoani hapa anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumwagia maji ya moto mumewe na kumsababishia kifo, kisha kuutumbukiza mwili wake mtoni.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwinjilisti adaiwa kumuua mkewe

Mwinjilisti wa Kanisa la Anglikana Kijiji cha Gama, wilayani Bagamoyo, Mkoa wa Pwani, anadaiwa kumuua mkewe kwa wivu wa mapenzi, kwa kumpiga na panga kichwani kisha kumfukia chini ya magogo aliyoandaa kwenye tanuri la mkaa porini.

 

11 years ago

Mwananchi

Baba adaiwa kumuua mtoto kwa kipigo

Mtoto mwenye umri wa miaka sita ameuawa kikatili, baada ya kudaiwa kupigwa na baba yake kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi adaiwa kumuua rafiki yake kwa kipigo

Askari wa kikosi cha Mbwa na Farasi wilayani Nyamagana mkoani Mwanza, anadaiwa kumuua rafiki yake akiwa amemfunga pingu miguuni baada ya kumtuhumu kumuibia kadi za benki na pochi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani