Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbaroni kwa kumuua mumewe

MKAZI wa Kata ya Kisemvule, Tarafa ya Vikindu, wilayani Mkuranga, Husna Kisoma (16), anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kusababisha mauaji ya mumewe. Kamanda wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mbaroni akidaiwa kumuua mumewe kwa maji ya moto

>Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Mfinzi wilayani Nkasi mkoani hapa anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumwagia maji ya moto mumewe na kumsababishia kifo, kisha kuutumbukiza mwili wake mtoni.

 

10 years ago

CloudsFM

MBARONI AKIDAIWA KUMUUA MUMEWE KWA MAJI YA MOTO

Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Mfinzi wilayani Nkasi mkoani hapa anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumwagia maji ya moto mumewe na kumsababishia kifo, kisha kuutumbukiza mwili wake mtoni.
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi usiku kijijini hapo na kumtaja aliyeuawa kuwa ni Evod Teola (62).

Alisema siku ya tukio mwanamume huyo alirejea nyumbani na kuanza mzozo na mkewe aliyemtaja kwa jina la Zelena Kiozya (55) ambaye...

 

11 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa kudaiwa kumuua dereva bodaboda

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariPOLISI mkoani Katavi inawashikilia watu watatu wakituhumiwa kumuua kikatili kwa kumchinja dereva wa pikipiki ‘bodaboda’ Frank Joseph (25) mkazi wa Mtaa wa Nsemulwa mjini Mpanda kisha kumpora pikipiki yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni Katavi kwa kumuua dereva wa Bodaboda

POLIISI wilayani Mpanda, Katavi linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumuua dereva wa pikipiki ‘Bodabodai, Frank Joseph (25), mkazi wa mtaa wa Nsemlwa kwa kumchinja shigo na kisha kumpora pikipiki...

 

5 years ago

CCM Blog

ATIWA MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMUUA MPENZI WAKE

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia FESTO MADUHU (28 -30) Mbeba Mizigo @ Kuli na Mkazi wa Mtaa wa Benki Kabwe Jijini Mbeya kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake na kisha yeye mwenyewe kujaribu kujiua kwa kisu.

Ni kwamba mnamo tarehe 22/03/2020 majira ya saa 09:00 Asubuhi huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “NEGERO” iliyopo Mtaa wa Ilolo, Kata ya Ruanda, Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya katika chumba namba 111 @ Victoria, Mwanamke mmoja aitwaye JESCA MICHAEL @ KUNGULU [28] Mhudumu wa...

 

11 years ago

CloudsFM

INSPEKTA WA POLISI MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMUUA MWANAYE

Jeshi la Polisi linamshikilia Inspekta wake, Celestine Makene (40) kwa madai ya kumpiga hadi kumsababishia kifo mtoto wa kaka yake, Alerd Makene (16).

Makene anadaiwa kutenda kosa hilo Julai 24, mwaka huu katika makazi ya polisi, Mtoni Kijichi, Dar es Salaam na anashikiliwa katika Kituo cha Chang’ombe.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya wa Kihenya alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema marehemu Alerd alikuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Mbagala...

 

11 years ago

GPL

MKE ADAIWA KUMUUA MUMEWE!

Na Mwandishi Wetu
SHETANI anazidi kuuatamia ulimwengu! Mama mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Farida mkazi wa Mburahati jijini Dar, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kudaiwa kumuua mumewe aliyetajwa kwa jina la Amosi Joseph kwa kumpiga kwa kukombe kichwani, Ijumaa linaidondosha kama ilivyo. Akisimulia mbele ya gazeti hili mkasa mzima, mtoa habari hii aliyetajwa kuwa dada wa marehemu anayejulikana kwa jina la Khadija,...

 

11 years ago

Habarileo

Mke adaiwa kuhusika kumuua mumewe

MKAZI wa kijiji cha Vikonge wilayani Mpanda, Kitola Jeremia (45) ameuawa kwa kupasuliwa tumbo lake kwa kisu na utumbo wake wote kutolewa nje na watu wawili wanaodaiwa kukodishwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni wakidaiwa kumuua kikongwe

JESHI la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kumuua Edna Kajinga (70) mkazi wa Kijiji cha Katobe, wilayani Rungwe. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani