Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda afunguka urais 2015

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Fredy Azzah, Dar

BAADA ya jina lake kutajwa kuwa miongoni mwa watu watakaowania urais, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, amesema zipo taratibu ndani ya chama chake za kutangaza kuwania nafasi hiyo na kusema kinachoendelea hivi sasa ni juhudi binafsi za watu.

Pinda alisema hayo jana nyumbani kwake jijini Dar es Salaam alipokutana na wahariri wa gazeti hili, kuzungumzia masuala mbalimbali yanayolikabili taifa.

Hivi karibuni vyombo vya habari viliripoti taarifa za Pinda...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Pinda atajwa mbio za Urais 2015

PG4A2888

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akipigiwa magoti na Matrida Kitwanga (kulia) mke wa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (kulia) baada ya kuwasili nyumbani kwa Naibu Waziri huyo, eneo la Usagara, nje kidogo ya jiji la Mwanza ambako alikwenda kumpa pole kufuatia kifo cha mwanae Vedastus Kitwanga kilichotokea hivi karibuni. Katikati ni binti wa familia hiyo,Agnes Misoji Kitwanga.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Na Mwandishi wetu

Wakati makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

10 years ago

Vijimambo

Mke wa Pinda azungumzia urais wa mumewe 2015

Mke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda
Mke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda, amesema bado hajashirikishwa na mume wake Mizengo Pinda, kuhusu nia ya kiongozi huyo wa serikali kutaka kuwania nafasi ya urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu ujao mwakani.

Akizungumza katika mahojiano maalum na NIPASHE jijini Dar es Salaam, Tunu alisema mume wake bado hajatangaza rasmi nia yake ya kugombea nafasi hiyo kubwa nchini mwakani.

Alisema Pinda hajawahi kukaa na familia yake na kuwaeleza kama ana mpango wa kujitosa...

 

10 years ago

KwanzaJamii

ALAT yakana kumbeba Pinda urais wa 2015

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda Na Salome Kitomary Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (Alat), imemkana Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, na kueleza kuwa hawahusiki kwa namna yoyote katika mbio zake za urais au kupewa fedha kwa ajili ya kuzigawa kwa Halmashauri Mkuu ya Taifa ya (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na wanachama wa Chama hicho. Katibu Mkuu wa Alat, Habraham Shamumoyo, alisema hayo jana  ijini Dar es Salaam jana, katika mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na habari ...

 

10 years ago

Mwananchi

Massaburi ampigia chapuo Pinda urais 2015

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (Alat), Dk Didas Massaburi amempigia ‘debe’ Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba, ndiye anayehitajika kupewa ridhaa ya kuongoza nchi katika uchaguzi mkuu mwaka 2015. Dk Massaburi alisema hayo jana wakati wa kuzindua mchakato wa maadhimisho ya miaka 30 ya Alat na serikali za mitaa, kuwa Pinda ni kiongozi mwenye sifa zinazohitajika ndani ya jumuiya hiyo. Alizitaja baadhi ya sifa hizo kuwa ni pamoja na upole, mtu asiye dikteta, awe...

 

10 years ago

Mwananchi

UVCCM wagoma Pinda kuwa naibu kamanda, kisa urais 2015

Dodoma. Vita ya urais ndani ya CCM inaendelea. Juzi, vita hiyo iliibuka katika Kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) baada ya kuwapo kwa madai kwamba kikao hicho kilikataa kupitisha jina la  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuwa naibu kamanda wake Tanzania Bara.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda afunguka sakata la Escrow

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema taarifa nyingi za mjadala wa akaunti ya Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) ambao unaendelea bungeni, umeongezwa chumvi na wakati ukifika Watanzania watatolewa taarifa kamili.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwigulu afunguka urais

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema ameanza kuchangiwa fedha na Watanzania wanaoishi ughaibuni ili zimsaidie iwapo ataamua kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Makongoro Nyerere afunguka urais

Wakati CCM ikielekea katika kipindi kigumu cha kuamua mgombea wake wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao, Makongoro Nyerere, ambaye ni mtoto wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, amezungumzia taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zikimtaja kuwa na mpango wa kuwania nafasi hiyo ya juu nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani